Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yule Kishimba tajiri wa Mwanza au mwingine? Mzee wa nyeti za kuku hoi na mamvi yake duh!Lembeli alimkimbia kishimba kura za maoni CCM,kamkuta kwenye uchaguzi mkuu na kachinjiliwa mbali
Amewatosaje, kwani bila Zitto huwezi kushinda ubunge Kigoma!Ubinafsi wa Zitto umesababisha Kigoma imeangukia ccm.
Amewatosa Machali na Mkosamali
Tutawanyoooosha vibaya na wataisoma namba malofa hao
Vigogo maarufu ccm wangolewa.
1.steven wasira atolewa kamasi na mjukuu wake
2.Aggrey mwanri
3.Omari Nundu
4.Kebwe
5.Ole sendeka
6 Anna Kilango
Ongeza wengine!!
Act chama cha waha
Mkuu Umetisha Sana
Yaani Wanasema Ni Cha Waha
Kigoma Kinaitwa Team Mawese
Tatizo ukawa walitoa elimu ya kulinda kura hawakutoa elimu ya kupiga kura,mi nimesimamia zoez la kupiga kura,watu wanatafuta ukawa,wakikosa wanapigia chama chochote,au anachora chora kwa hasira anatoka
Wengi ni vijana waliohemkwa kwani walikuwa wakikunja nje ndani wakidai kuwa wamefundishwa kukunja ki ukawa
Mliwekeza sana katika mafuriko mkasahau kumwaga sera.