Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Majimbo ya UKAWA
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serengeti- CDM
22. Singida Mashariki-CDM
23. Mtwara mjini-CUF
24.Ndanda-CDM
25.Ukonga-CDM
26. Babati-CDM
27. Bukoba mjini-CDM
28. Kyerwa-CDM
29. Tandahimba-CUF
30. Tunduma-CDM
31. Momba-CDM
32.lupembe-CDM
33. Kyera-CDM
34. Tanga mjini -CUF
35. Mbalali-CDM
36.Mikumi-CDM
37. Kigamboni-CUF
38. Babati vijijini-CDM
39. Kigoma mjini-ACT
40. Kibondo kwa Chiza-CDM
40. Mchinga-CUF
41.Kirombero-CDM
42. Ifakara-CDM
43. Mlimba-CDM
44. Mbulu-CDM
45,.Aremuru Magharibi-CDM

Unaonaje Ukituwekea Pia Na Ya CCM Tena Ukianzia Na Ya Urais Hadi Ktk Mtiririko Wako Huo?
 
Ni shida mno watu walikuwa wanatukana hovyo humu jamvini,wengine walidiriki kusema hata UKAWA wakimuweka Idd Amin awe mgombea wao watamchagua tu awe kiongozi mkuu wa nchi yetu,nikawaambia yaani Watanzania tumesahau ubaya aliowafanyia ndugu zetu wa Kagera enzi hizo Mkoa wa Ziwa Magharibi alipoivamia nchi yetu,kipindi hicho hakuna Tv ni RTD peke yake nchi nzima,wakati wa Taarifa ya Habari tunakimbilia kusikiliza redio 277,tukafundishwa kuchimba mahandaki na namna ya kukimbilia humo kujificha,lkn eti watu wakawa wanamtaka huyo Fashisti aje awe mtawala hapa kisa kuiondoa CCM madarakani haya sasa Watanzania wameamua nadhani wamezingatia usemi Zimwi likujualo...............

Hee Urais katangazwa nani mkuu? me nipo shamba huku sijasikia.
 
Kuna tv channels ambazo kila kwenye vurugu ndizo huchangamkia na kutoa TAARIFA utadhani wanafurahia.wala hawakemei mambo ya vurugu.waache
 
Kwani si walisha bandika vituoni na mawakala wamesign? Ondoa shaka watatangaza tu!
 
Kwa mara ya kwanza tangu kupata uhuru nchi yetu imeonekana kwenye vyombo vya kimataifa,kwa mara ya kwanza Afrika na Dunia imeongea kuhusu Tanzania
Baba kazi uliyofanya kwa kujitolea ni kubwa kuliko hata ya Urais,japo bado tunasubiri matokeo lakini hata kama ukishindwa umefanya kazi kubwa sana ya kutangaza mchi yetu kwa mara ya kwanza tangu uhuru,
mimi nimefarijika baada ya kuona vyombo vya kimataifa kama CNN wakisema ni uchaguzi wa century haujawahi kutokea
umeongeza ushawishi na ari kubwa ya kupiga kura na kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu tumejitokeza 77% ukilinganisha na 33% iliyojitokeza 2010
Baba tunakupenda na kazi uliyofanya tutaiheshimu milele hata kama hatutashinda!
 
Baada ya magwiji wa siasa za upinzania Augustino Mrema na Momose Cheyo kushinda kurudi bungeni, nafasi zao sasa zitachukuliwa rasmi na Zitto Zuberi Kabwe.
 
Wanavuta "attention" kwenye matokeo ya Udiwani na Ubunge; wapinzani wakibaki kukodolea macho ubunge na udiwani, wanaweka sasa namba za Uraisi. Wabunge wa Arumeru wamekuwa wajanja, matokeo ya Uraisi kwanza kabla ya Ubunge. Laiti wote wangesimamia hilo hata kama wameshindwa....
 
Back
Top Bottom