Matukio valentine day

Matukio valentine day

Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.

Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.

Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.

Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"

Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.

Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
Wanawake ambao wanatambua nafasi zao na kutumia vema kama mke,rafiki au mchumba ni wachache sana katika 1000 unaweza pata 10 tu....yeye huyo anataka wewe ndie utoe zawad yeye hawez kutoa,wewe ndie umkumbuke yeye hawez kukukumbuka,yeye ndie umtumie vocha yeye hata awe namamilion hawez fanya hivo urafiki na uchumba kwa hawa dada zetu ni kujitafutia majanga bora wawe marafiki wao na wao wafanyiane unafiki piga chini hiyo mbuzi meeeee
 
Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.

Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.

Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.

Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"

Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.

Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
baby wako alikuwa yupo na baby wake.
 
Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.

Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.

Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.

Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"

Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.

Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
Hahahah
Ningeweka screenshoot nilivyojibiwa.

Sema nimeshafuta sms na namba za mdada yule.

Mungu amsaidie huko aendako.
 
Kwangu jana ilikua ni mwendo wa no. unayoipigia inatumika kwa sasa jaribu tena baadae. Ikifika baadae ni wimbo huo huo mpaka ahsubuhi.

Saaa tatu ety Luv, Jana niliwai kulala, sijui simu alikua nayo nani... Mm nikasema sawa hakuna shida.

Japo kichwani maamuzi yashafanyika tayar.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Kwangu jana ilikua ni mwendo wa no. unayoipigia inatumika kwa sasa jaribu tena baadae. Ikifika baadae ni wimbo huo huo mpaka ahsubuhi.

Saaa tatu ety Luv, Jana niliwai kulala, sijui simu alikua nayo nani... Mm nikasema sawa hakuna shida.

Japo kichwani maamuzi yashafanyika tayar.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Ana kuona famba siyooo
 
Mimi wangu alinikatia simu wiki jana. Palepale nikatoa dismissal letter. Kwa siku Hizi matumizi yamepungua kinoma hadi najipenda yaani
Ni kweli mkuu kama unataka kujua vija wengi wanashindwa kupata maendeleo jaribu kuachana na mpenzi! itajikuta unabaki na pesa nyingi kama ulikuwa una mpa kwa mwezi zaidi ya laki basi hizo pesa utaanza kuziona ukiwa nazo na wazaz wakikuomba pesa unawapa kwa haraka kwasababu zipo zilpo kuwa zinaenda haziendi tena.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom