Matukio ya CCM katika picha

Matukio ya CCM katika picha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1641724215546.png
 
Imebidi niingie kwenye ukurasa wa Bunge.
Kwenye news and events kuna heading. Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai Ajiuzulu.
Hapo utakuta taarifa kwa vyombo vya habari kuwa yeye Job ameandika barua kwenda kwa katibu mkuu wa chama chetu kujiuzulu nafasi yake.
Para 2 ‘Pia nakala ya barua yangu hiyo ya kujiuzulu nimewasilisha kwa katibu wa bunge…’
Hoja yangu:
1. Kwenye ukurasa wa Bunge, ipo tu taarifa kwa vyombo vya habari ambayo ndo imesambaa mitandaoni.
2. Barua ya Job kujiuzulu haipo.
3. Katibu wa Bunge hajakiri kupokea barua y job
4. Hakuna mahali katibu wa chama chetu amekiri kupokea barua ya Job
5. Sijaona mahali hiyo nafasi imetangazwa kuwa wazi[emoji848]

My take: Job ni Spika halali wa Bunge.
 
Back
Top Bottom