Asante mtani, hawa vijana wa siku hizi wanahisi mpira ni uandui.Ni ushamba wa mashabiki wa miaka ya sasa, Miaka ya nyuma pale shamba la bibi ukiacha jukwaa kuu ambalo lina sehemu za mashabiki wa Simba na yanga eneo lote lililo kua lime baki karibu 80% ya mashabiki walikua wamekaa kwa kuchanganyika Simba na Yanga na magoli yakifungwa walikua wakishangilia.
Ipi ya kushangilia ambayo siyo ya CCM?Pole mkuu hizo ni timu za CCM tafuta timu za kushangilia
How old are you? Unajua historia ya Tanganyika na Tanzania? ACHA KUPOTOSHA watu. Yanga itabaki kuwa CCM ila sio hzo nyingine.Pole mkuu hizo ni timu za CCM tafuta timu za kushangilia
Uzuri wanatolewa raundi ya kwanzaMichuano ya klabu bingwa afrika inakuja tutawaona na kiherehere chenu cha kushangilia timu za wageni tutakavyowashugulikia
That's y your still poor. Una mawazo mgandoUzuri wanatolewa raundi ya kwanza
Lakini ndio mabingwa wa nchi sio nyie mnaosubiri mbeleko mshiriki kimataifaUzuri wanatolewa raundi ya kwanza
Yanga wameshashindwa kupambana na simba uwanjani sasa hivi wanaanzisha tabia ya kupiga mashabiki wa simba.Ni mara ya pili leo baadhi ya wahuni kutoka mashabiki wa utopolo wamewafanyia fujo wenzao wa Simba waliokwenda kuangalia mechi.
Ninalaani vikali vitendo hivyo na ninaomba mamlaka ziingilie kati na kuchukua hatua mapema,vinginevyo kuna vita ya kwanza ya mpira inaweza kutokea Tanzania.Maana hii tabia inataka kuzoeleka na inaonekana inachekewa chekewa na wahusika.Ila kumbukeni,Simba wakianza kulipa kisasi,sina uhakika hali itakuwaje
We jamaa ni hopeless, Kujiunga JF naomba kuwe na interview, ile sentence ya "home of great thinkers" iendelee kupata heshima yakemashabiki wa mikia mna nguvu ya mdomoni tuu tenna nyuma ya keyboards , ni watalaam wa kuchokoza ila bahati yenu mBio tuu ndizo zinazo waokoa siku zote, kwenye mechi ya wanannchi mlifata nini ??
Sawa, na hii itawasaidia kuchukua kombe msimu huu. Kumbe mashabiki wa Yanga ni wapuuzi fulan, wahuni wasiostaarabika, nadhan hata shule kichwan ni ndogo. Karne hii ya kujisifia kupigana, kweli??Mkiendelea na maneno yenu machafu katika mechi zetu lazima tuwashushie mkong'ong'oto wa kutosha,
Haiwezakani katika mechi yetu na mtibwa eti mashabiki wenu wanakuja alafu wanasema "Tumekuja kuwakera",
Tunawasubiri kwa hamu mashabiki wengine wa mkia waje "kutukera". Katika mechi zetu zijazo ili tuwashushie kipigo 'heavy'
Daima mbele nyuma mwiko.
Nadhan-nadhaniSawa, na hii itawasaidia kuchukua kombe msimu huu. Kumbe mashabiki wa Yanga ni wapuuzi fulan, wahuni wasiostaarabika, nadhan hata shule kichwan ni ndogo. Karne hii ya kujisifia kupigana, kweli??
Nadhan-nadhani
Kichwan-kichwani
Rudi shule kwanza ujifunze kuandika 'then' uje.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa madam, vipi hujafungua tuition ya lugha ya kiswahili nije nijifunze kwako??
Sawa shabiki wa Uto.. miaka 3 hii kavu, na bado tunaenda back to back 10.[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeshapaniki tayari shabiki lia lia wa mkia,ndio maana mnadundwaga,
Pumbavu.
Muda uliotumia kuandika hii pumba ako katecno kako akajashika moto kweli,angalia hizo video uone washabiki wa mikia walichowafanyia washabiki wa Yanga,sema kwa uzembe wa idara ya habari ya Yanga uwa hawayaripotiAcha upumbavu wako yanga wana jukwaa lao? Kinachokufanya ukae jukwaa fulan ni kiingilio ulicholipa na wala sio timu unayoishabikia. Mara ngapi mashabiki wa yanga wanakaa jukwaa moja na mashabiki wa simba na huoni mashabiki wa simba wakiwafanyia vurugu.
Kinachowatesa mashabiki wa yanga ni timu yao kuwa mbovu kiasi cha kudhani ubovu wa timu yao unasababishwa na mashabiki wa simba.
Yanga msiipobadilika mtaicost team yenu either mechi zake zichezwe bila mashabiki au mnyang'anywe points.
Mark my words.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Waulize wenzio wa Morogoro kinachoendelea kuwakuta, sio unaropoka nyuma ya keyboard wakati wenzio walofanya huu ujinga washazikimbia familia zao kukwepa mkono wa dola ilihali wanajua huwezi kuikimbia dola. Huku nyuma wameacha wake zao wanapigwa miti na majamaa ya mtaani, what a shame!Mkiendelea na maneno yenu machafu katika mechi zetu lazima tuwashushie mkong'ong'oto wa kutosha,
Haiwezakani katika mechi yetu na mtibwa eti mashabiki wenu wanakuja alafu wanasema "Tumekuja kuwakera",
Tunawasubiri kwa hamu mashabiki wengine wa mkia waje "kutukera". Katika mechi zetu zijazo ili tuwashushie kipigo 'heavy'
Daima mbele nyuma mwiko.