Matukio ya fujo za washabiki wa Yanga ni ya aibu kwenye soka Yakemewe kwa nguvu

Matukio ya fujo za washabiki wa Yanga ni ya aibu kwenye soka Yakemewe kwa nguvu

Ni ushamba wa mashabiki wa miaka ya sasa, Miaka ya nyuma pale shamba la bibi ukiacha jukwaa kuu ambalo lina sehemu za mashabiki wa Simba na yanga eneo lote lililo kua lime baki karibu 80% ya mashabiki walikua wamekaa kwa kuchanganyika Simba na Yanga na magoli yakifungwa walikua wakishangilia.
Asante mtani, hawa vijana wa siku hizi wanahisi mpira ni uandui.
 
Tukianza kucheza mechi zetu na akina tp mazembe..utopolo mkija taifa tunawatoa utumbo mpana
 
Ni mara ya pili leo baadhi ya wahuni kutoka mashabiki wa utopolo wamewafanyia fujo wenzao wa Simba waliokwenda kuangalia mechi.

Ninalaani vikali vitendo hivyo na ninaomba mamlaka ziingilie kati na kuchukua hatua mapema,vinginevyo kuna vita ya kwanza ya mpira inaweza kutokea Tanzania.Maana hii tabia inataka kuzoeleka na inaonekana inachekewa chekewa na wahusika.Ila kumbukeni,Simba wakianza kulipa kisasi,sina uhakika hali itakuwaje
Yanga wameshashindwa kupambana na simba uwanjani sasa hivi wanaanzisha tabia ya kupiga mashabiki wa simba.

Hii Tabia itakuwa na mkono wa viongozi wa Yanga haiwezekani wafanye matukio mfululizo kwa mashabiki wa simba tu.
 
Ni 'stress' tu, maana si Wachezaji, Viongizi hadi Mashabiki wote mabondia.
 
mashabiki wa mikia mna nguvu ya mdomoni tuu tenna nyuma ya keyboards , ni watalaam wa kuchokoza ila bahati yenu mBio tuu ndizo zinazo waokoa siku zote, kwenye mechi ya wanannchi mlifata nini ??
We jamaa ni hopeless, Kujiunga JF naomba kuwe na interview, ile sentence ya "home of great thinkers" iendelee kupata heshima yake
 
Mkiendelea na maneno yenu machafu katika mechi zetu lazima tuwashushie mkong'ong'oto wa kutosha,

Haiwezakani katika mechi yetu na mtibwa eti mashabiki wenu wanakuja alafu wanasema "Tumekuja kuwakera",

Tunawasubiri kwa hamu mashabiki wengine wa mkia waje "kutukera". Katika mechi zetu zijazo ili tuwashushie kipigo 'heavy'

Daima mbele nyuma mwiko.
Sawa, na hii itawasaidia kuchukua kombe msimu huu. Kumbe mashabiki wa Yanga ni wapuuzi fulan, wahuni wasiostaarabika, nadhan hata shule kichwan ni ndogo. Karne hii ya kujisifia kupigana, kweli??
 
Sawa, na hii itawasaidia kuchukua kombe msimu huu. Kumbe mashabiki wa Yanga ni wapuuzi fulan, wahuni wasiostaarabika, nadhan hata shule kichwan ni ndogo. Karne hii ya kujisifia kupigana, kweli??
Nadhan-nadhani
Kichwan-kichwani

Rudi shule kwanza ujifunze kuandika 'then' uje.
 
Sawa madam, vipi hujafungua tuition ya lugha ya kiswahili nije nijifunze kwako??
[emoji23][emoji23][emoji23]

Umeshapaniki tayari shabiki lia lia wa mkia,ndio maana mnadundwaga,

Pumbavu.
 
Acha upumbavu wako yanga wana jukwaa lao? Kinachokufanya ukae jukwaa fulan ni kiingilio ulicholipa na wala sio timu unayoishabikia. Mara ngapi mashabiki wa yanga wanakaa jukwaa moja na mashabiki wa simba na huoni mashabiki wa simba wakiwafanyia vurugu.
Kinachowatesa mashabiki wa yanga ni timu yao kuwa mbovu kiasi cha kudhani ubovu wa timu yao unasababishwa na mashabiki wa simba.
Yanga msiipobadilika mtaicost team yenu either mechi zake zichezwe bila mashabiki au mnyang'anywe points.
Mark my words.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Muda uliotumia kuandika hii pumba ako katecno kako akajashika moto kweli,angalia hizo video uone washabiki wa mikia walichowafanyia washabiki wa Yanga,sema kwa uzembe wa idara ya habari ya Yanga uwa hawayaripoti
 

Attachments

  • VID-20200901-WA0010.mp4
    3.4 MB
  • VID-20200901-WA0012.mp4
    2.5 MB
kule ulaya huwa naona mashabiki wa timu mwenyeji wanatengwa na mashabiki wa timu ngeni. Sijui huku kwetu hali haipaswi kuwa hivyo?
 
Sasa hivi ukimquote mtu wa utopolo, ndala, yeboyebo, mbwa, nyani, usisahau emoji hizi[emoji2187][emoji2187][emoji119][emoji120][emoji2089][emoji2089][emoji2088][emoji2088][emoji2222] la sivyo utachezea vitasa mpaka ufe, dawa ni kuyatania alafu unatoka nduki.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mambwa hayooooo [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkiendelea na maneno yenu machafu katika mechi zetu lazima tuwashushie mkong'ong'oto wa kutosha,

Haiwezakani katika mechi yetu na mtibwa eti mashabiki wenu wanakuja alafu wanasema "Tumekuja kuwakera",

Tunawasubiri kwa hamu mashabiki wengine wa mkia waje "kutukera". Katika mechi zetu zijazo ili tuwashushie kipigo 'heavy'

Daima mbele nyuma mwiko.
Waulize wenzio wa Morogoro kinachoendelea kuwakuta, sio unaropoka nyuma ya keyboard wakati wenzio walofanya huu ujinga washazikimbia familia zao kukwepa mkono wa dola ilihali wanajua huwezi kuikimbia dola. Huku nyuma wameacha wake zao wanapigwa miti na majamaa ya mtaani, what a shame!
Yanga msipobadilika mtaozea lupango kwa ushabiki wa kijinga.
Huo ushamba mnaoleta viwanjani utawacost nyie na familia zenu.
We ukiona pale uwanjan mko wengi bas unahis we ni invisible kumbe upo naked, na ukishadakwa na manjagu hakuna hata atakaekuja kukuwekea dhamana akutoe polisi kila mtu atapita njia yake hutawaona wote walokua wanakushangilia kwamba piga! piga!. Hapo ndo utajutia upumbavu wako badala upigane na maisha unaenda pigania timu ambayo hata haikusaidii lolote zaidi ya kukupa stress na magonjwa ya moyo.
 
Back
Top Bottom