Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Simba iliyobaki moroko kipa mmoja ally salim,hadi morrison alicheza full back simba hawajaridhika ndiyo maana tar 12 wanaenda misri kambi ten
Achana na hiyo, vipi ile iliyocheza na FAA RABAT , ambayo wachezaji wote walikuwepo?

Hilo la kuendeleza kambi ndo swala la msingi kwa sasa.
 
Si ndiyo nashangaa roho mbaya umeanza lini tena ya kutaka kufuta uzi,haya mtani ngoja nikupumzishe,najua jana Kapumbu kaharibu shughuli yote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hata jukwaa hili leo naingia kwa machale
 
Yaani hata jukwaa hili leo naingia kwa machale

Shida ya hizi Team wala hatuangalii ni Friendly mechi au la,ukifungwa tu ni shida,ujue jana kabla ya mechi mlikuwa mmetamba sana na tulikuwa hatupumui,japo tulikuwa tunajibu mapigo,baada ya Kapumbu kufanya yake,kibao kikageuka,hata Manara amekuwa mpole sana,zile tambo zote zimeisha,amerudi kwenye defensive mode! Aliyeleta huu Utani wa Simba na Yanga ana nafasi ya pekee peponi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huu utani wa simba na Yanga unauma na kukera sana asikwambie mtu hasa kama timu yako ni Tia maji Tia maji na kitu kingine ni over expectations ya mashabiki kwa timu zao

Ila tu najiuliza mashabiki wa Yanga tunatoa wapi nguvu ya kuendeleza utani na Simba wakati ndani ya miaka minne ni mwendo wa chafu pozi
 
Oooh sisi tuna watu watu wenyewe kumbe wazinzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…