Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Midfield ya Mauya ni ushenzi, Yanga sijui mnakwama wapi tu hivi Mauya anacheza nini?Hali ni mbaya sana na hapa katikati inabidi tutafute game nyingi za kirafiki na sio mazoezi tu
Anyways ngoja tuone.