Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Ukiwasikia mashabiki wa Uto wanavyochonga utadhani wana litimu la maana... Kumbe mimavi mitupu...

Acheni maneno mengi, wekezeni kwenye timu....
Mkuu hayo ni matokeo ya mpira tu na duniani kote ndo yapo hivyo
 
Kuna namna kwenye hili tamasha letu tuwe tuaishia kutangaza wachezaji tu halafu kula Biriani na kunywa na kusema zetu

Uongozi uliangalie hili
Diplomasia ya Yanga haikujua umuhimu wa hii mechi?

Tatizo limeanzia kwa viongozi wenu kuleta team kubwa kuliko maandaliz yenu.
 
Wameleta timu sahihi na iko kwenye mashindano kama yao na pia hiyo timu iko kambini toka agasti.

Nadhani sasa Yanga wamejua kwamba kumbe Simba walifanya Kazi hadi kuwabeba utopolo.

Nadhani ni wakati muafaka wa kutoka kucheza mpira whatsup,fb,insta nk na kuanza kucheza mpira uwanjani.Na kama walisajili majina badala ya wachezaji watakula hasara hadi wakae sawa.

By the way Yanga itaishia round ya kwanza timu yao bado Sana.
Mimi hili nililiona mapema sana kuna mengi worse yanakuja hapo baadaye, timu haina combination wala haifati protocols za soka viongozi hawaheshimu mipaka yao, wao kwasababu ndo maboss eti hadi usajili wanafanya

Mwisho wa siku timu inamaliza usajili na hakuna hata mchezaji mmoja ambaye alikua kwenye mipango ya kocha, alafu hapo hapo uongozi unamuachia mzigo kocha kupitia kikosi hicho hicho ambacho hakikua katika chaguo lake kua kinatakiwa kilete ushindi.

Kulikua na sababu ya msingi sana kocha kususa na kudai apewe muda zaidi ili kuiweka kwenye formation hii timu aliyosajiliwa bila matakwa yake, hata ile tour ya moroco iliyokua aborted ila ikaja kufichwa kwa upepo shamra shamra za manara kuwaweka mashabiki kizani wasi focus kujua sababu ya wao kukatisha tour ghafla.
 
Subi
Wameleta timu sahihi na iko kwenye mashindano kama yao na pia hiyo timu iko kambini toka agasti.

Nadhani sasa Yanga wamejua kwamba kumbe Simba walifanya Kazi hadi kuwabeba utopolo.

Nadhani ni wakati muafaka wa kutoka kucheza mpira whatsup,fb,insta nk na kuanza kucheza mpira uwanjani.Na kama walisajili majina badala ya wachezaji watakula hasara hadi wakae sawa.

By the way Yanga itaishia round ya kwanza timu yao bado Sana.
Subiri tuione pia ya kwetu maana hii Simba Sc ya sasa si ile ya msimu uliopita, na hata ukiangalia mechi za kirafiki tulizocheza hatukupata matokeo mazuri licha ya kucheza na team ambazo hazitokuwepo kwenye mashindano kama yetu (CCL).


Mimi nilitaka kuipongeza tu Yanga kwa kuleta team yenye ushindani, na ingependeza sisi pia tutafute team inayojiandaa na CCL.
 
Mimi hili nililiona mapema sana kuna mengi worse yanakuja hapo baadaye, timu haina combination wala haifati protocols za soka viongozi hawaheshimu mipaka yao, wao kwasababu ndo maboss eti hadi usajili wanafanya

Mwisho wa siku timu inamaliza usajili na hakuna hata mchezaji mmoja ambaye alikua kwenye mipango ya kocha, alafu hapo hapo uongozi unamuachia mzigo kocha kupitia kikosi hicho hicho ambacho hakikua katika chaguo lake kua kinatakiwa kilete ushindi.

Kulikua na sababu ya msingi sana kocha kususa na kudai apewe muda zaidi ili kuiweka kwenye formation hii timu aliyosajiliwa bila matakwa yake, hata ile tour ya moroco iliyokua aborted ila ikaja kufichwa kwa upepo shamra shamra za manara kuwaweka mashabiki kizani wasi focus kujua sababu ya wao kukatisha tour ghafla.
Sawa mchambuzi
 
kile kikosi cha mwanzo ndio kilikuwa chenyewe.
Japo lengo la kocha lilikuwa kila mchezaji acheze ila pia kumtoa feisal na makambo imetugharimu pia djuma.
Hata hivyo zanaco imetuonyesha tunapotakiwa kuziba kabla ya Mechi na River Utd..
Jamaa beki zao zinacheza kwa akili mnoo na kila mpira wanaopiga wanapiga kwa sababu.
 
Back
Top Bottom