Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Timu ya wananchi wanakaribia kuingia uwanjani kuwasabahi mashabiki wao wa Yanga wakiwa katika vazi la suit la hatari sana
 
Kuna nini mbona pamoja na Promo zote za Msukule wenu mpya bado tu mpaka Saa 10 hii Uwanja haujajaa kama ilivyotarajiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…