Hahahaha
[emoji3][emoji3][emoji3]Maulid Shababi wewe ,ana wake wanne na anapiga tizi hatari ,angekuwa anapelekewa moto asingeweze kuyafanya hayo.
Fungate imeisha sasa ni muda wa lawama kwa tff,marefa,wachezaji na benchi la ufundiHuu ndo muda ambao huwa sina Imani na timu yangu ikiwa Uwanjani
Miaka 4 bila ubingwa hahaha
Imekuaje tena?Mabomu ya machozi yanarushwa na Polisi
Fataki.Imekuaje tena?
Huu ndo muda ambao huwa sina Imani na timu yangu ikiwa Uwanjani