atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Okay endelea kutafunwa kinyeo si chakoNi Nani aliyekwambia Tz hairuhusu ushoga ? Au imeandikwa wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay endelea kutafunwa kinyeo si chakoNi Nani aliyekwambia Tz hairuhusu ushoga ? Au imeandikwa wapi ?
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 sasa mkuu mbona unataka kuhalalisha kuliwaa kupiga pipe sifa ya mwanaume...Huyo anayempiga pipe yeye anapewa adhabu gani???
Wafiraji mnazidi kujitokeza kwenye huu uzi, sad
Mungu akujalie upate mtt shoga then uje ureply tena hapa kwa mbwembweKunywa maji baridi upumzike
Sifa ya Mwanaume kupiga Pipe Mashoga lakini wanaohukumiwa ni Mashoga wanaopigwa Pipe,😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 sasa mkuu mbona unataka kuhalalisha kuliwaa kupiga pipe sifa ya mwanaume...
Happy Pride MonthHuwezi kuwa sawa hii sio normal kabisa
😂😂😂Pole kwa kumpoteza mwenzio,, sio kwa machungu haya,,Huna akili wewe , nyie ndio fuata mkumbo Tu msiojua dunia inaendaje , ni watu msio na upeo WA kukaa na kutafakari vitu Kwa kina (critical thinking ) , you are nothing but brainless dummies .
Hao mawaziri, wabunge NK in general , viongozi wakubwa WA kiserikali mpaka kidini na hata wafanyabiashara wakubwa ndio hao hao wafiraji wakubwa na wanunuzi WA mashoga , kanisa katoliki mfano na mapadre wake hao wabakaji kinyume na maumbile watoto wadogo Kwa miaka mingi na hata Pope mwenyewe anajua na ame admit publicly , Kwa waislamu hao mashehe nao wanafiki Tu hizi hapa kuna sheikh sijui ustadh kabaka watoto kinyume na maumbile tena msikitini , watoto WA madrasa mpaka kwenye vyombo vya habari na mitandao mtakuwa mmeona na inaonekana ndio Tabia yake .
Huu unafiki WA kudemonize watu sijui mashetani sijui nini ni ufala , kila mtu aishi maisha yake atajuana na Mungu wake , Dunia ya kinafiki hii .
.Happy Pride Month
[emoji2380][emoji304]
Naomba kuuliza kuna uhusiano gani kuwa shoga na sex worker!?Kutoweka au kuongezeka? Mashoga wanaongezeka kila leo sababu wahitaji na watumiaji wako wengi.
Ukweli ulio wazi, km Jamii inataka kuutokomeza ushoga, ianze na mabasha kwan. Una muua shoga basha wake anabaki anaenda kumuibua shoga mpya uraiani, sasa ndo nn?
Hili suala linahitaji akili na uerevu ktk kukabiliana nalo
Ni Mdau kindakindakiInaonesha mleta mada una cheo kikubwa sana huko upinde wa mvua.
Ndo maana mnaishia kuua mashoga, eti kisa mnataka wawe straight, ndo uwezo wa kufikiri unapoishia. Daaah kazi ipo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kwahiyo kuwa serious ni kufuata wee unavyotaka mtoto awe? Nyie watu mbna mnashangaza sanaa, unachotaka wee sicho nachotaka mie, na ninachotaka mie sicho unachotaka wee,
Ndo maana mnaishia kuua mashoga, eti kisa mnataka wawe straight, ndo uwezo wa kufikiri unapoishia. Daaah kazi ipo.
Women are mostly nurturing gayism.Duuuh angeenda cha kike hatunaga tabu nao
Ni mojawapo ya solutionKwahiyo suluhisho ni kuua?
Jua ni vita kubwa sio easy kama gays mnavotaka kulazimishaHiyo civilization kaimpose Kwa familia yako , usipangie watu maisha , as long as mtu anapractice kitu kisichokuaffect , JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off ! . Watu wanaowaonea mashoga na kuwanyanyasa nashauri itengenezwe severe punishment ili iwe fundisho Kwa wengine
kuna risasi hazina kazi hapaUnataka kumfyamba?
shoga mwingine huyu Kama sio hivyo basi ni mleta mada kwa id nyngneNa ww ni shoga?[emoji848]
Watoto gani hao? Watoto wanaharibiwa na mabasha na walawiti.Wacha afe hawa ndo wanaharibu watoto wa watu, na mbinguni akachomwe moto.