Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Duh!Juu na chini pia.
Poleeeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sex and Gender are different concepts that are often used interchangeably. The UK government refers to sex as being biologically defined, and gender as a social construct that is an internal sense of self, whether an individual sees themselves as a man or a woman, or another Gender Identity.Jua ni vita kubwa sio easy kama gays mnavotaka kulazimisha
Tatizo lenu mnataka kulazimisha kila kitu.
Mimi sinaga tatizo na nyie watu ila mnapoanza lazima mambo na sheria ziwafavour hapo ndio inakuwa inshu.
Duniani jinsia mbili tu nyie ni jinsia ipi!?
Umbwa kama wewe mara nyingi mnaishia kuwa kitoweo tuuAlistahili kifo amepata haki yske
That's my girl, [emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huyu hizo zama nilishavuka zamani, na wala sio shida zangu, yaan niko huru na naenjoy life.
Mashoga wasiojikubali na wanaohitaji Elimu ya ujinsia ndo wanakutwa na hayo mambo,
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] 4 lifeee.
Heterosexuals muache kuzaa sababu nyie ndio mnawaza Homosexuals,Vp mmefikia muafaka gani kwenye hili ishu?
Saa hizi yupo motoni anaugulia maumivu tuu. KmmkKaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Jiongeze mkuu utaelewa.Wewe mtoa Uzi ni jinsia gani mkuu
Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Kama.vile unamtetea mwenzioKwahiyo suluhisho ni kuua?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu kunguru anahusika vipi hapa tumewakosea nini haujaona mfano mwengine
Mkuu, wewe wa kwako akiwa shoga utamuua?Mtoto wako wa kiume akiwa shoga, utampa ushirikiano?
😂🤣Halafu ubasha unazaa roho ya ushonga.Huyo shoga jehanam ana adhabu ndogo kuliko wafiraji ndiyo maana biblia imesema ..wafiraji hawata ingia uzimani ...pia inasema usilale na "mwanaume kama kulala na mwanamke"maana yake nini hayo maneno yanaonyesha kuwa mungu anajua tatizo siyo mashoga tatizo ni mabasha ...tena ubasha umechavuka kwa sababu ya ufiraji wanawake ...kitendo cha kuingilia wanawake kinyume na maumbile kinazaa roho ya ubasha
Mimi naishi hapa kwa Nyerere mzungu ananibagua saa ngapi?Majitu meusi yamebaguliwa,yameteswa kwa ajiri tuu ya rangi zao lakini hamjifunzi ubaguzi wa aina yeyote ni kitu kibaya na cha ovyo sana, watu kama wewe nafurahia sana mkiaibishwa, kuuliwa na kuteswa sababu ya rangi zenu nyeusi, wazungu wakikataa kuwapa mikono au msiingie Hotel zao mnalia ubaguzi kama ndege pori
Why reference from UK government?Sex and Gender are different concepts that are often used interchangeably. The UK government refers to sex as being biologically defined, and gender as a social construct that is an internal sense of self, whether an individual sees themselves as a man or a woman, or another Gender Identity.
Yes, Duniani Jinsi (Sex) zipo mbili tu (Ke na Me)
Sasa nenda kasome kuhusu Sexual Orientation na Gender,
Unaweza ukalisha Ubungo wako kitu kipya
ni kuua tuNikikutana na Hawa mashoga nasikia kichefuchefu, ni kuua tu