Matukio ya Ushoga duniani

Ukiona bidhaa inakua kwa kasi ujue soko lake ni kubwa sitetei ila sasa hivi michezo ya kupakuana vinyesi imekuwa jambo la kawaida, hapa nini ni kifanyike ili kupunguza hiikadhia maana kuua ni kuipa promo na kutengeneza content ya kuzungumzwa zaidi
 
Sex and Gender are different concepts that are often used interchangeably. The UK government refers to sex as being biologically defined, and gender as a social construct that is an internal sense of self, whether an individual sees themselves as a man or a woman, or another Gender Identity.

Yes, Duniani Jinsi (Sex) zipo mbili tu (Ke na Me)

Sasa nenda kasome kuhusu Sexual Orientation na Gender,

Unaweza ukalisha Ubungo wako kitu kipya
 
That's my girl, [emoji8]
Anawazungumzia teenagers huko, yaani Ugali Dagaa na Bamia ulivyo mtamu unaanzaje kufikiria kujiua kisa maneno ya waliokata tamaa za Maisha,

Kila siku nasema Homophobic wote ni Maskini ambapo sifa kubwa ya Maskini ni kulaumu wengine kupitia magumu yake anayopitia,

Angalia hata humu wengi ni graduates waliokosa Ajira, wengine ni Watu wazima umri ushamtupa lakini bado yupo kwenye Nyumba ya Kupanga na Watoto rundo, wengine wanafanya kazi yenye Mshahara mdogo kipato chake kanaishia kwenye kula na kulipa bills, wengine wana Madeni hadi kwenye kope na hawana uhakika wa kuyalipa, list ni ndefu, [emoji119]

Kiufupi Mtu anayechukia Ushoga ni sababu na yeye anajichukia, sasa alitarajia kuona Mashoga wanaishi Maisha ya kukosa Furaha, Maisha ya Kifukara, Maisha ya Kuteseka lakini ndio kwaaaaaaaanza furaha kama zote na Bata linaliwa hadi Kuku wanaona wivu.

[emoji2380][emoji2380]
 
Vp mmefikia muafaka gani kwenye hili ishu?
Heterosexuals muache kuzaa sababu nyie ndio mnawaza Homosexuals,

Lakini mjue pia science imekua, Mimba inatungishwa maabara, Gay anaweza kumpa mbegu Lesbian Mtoto akapatikana, lol
 
Saa hizi yupo motoni anaugulia maumivu tuu. Kmmk
 

Mleta mada jitafakari tu
 
Nyie mnaofananisha ushoga na dhambi nyingine kama uzinzi,wizi na uasherati inabidi mkapimwe mental , toka enzi izo za mitume uzinzi,uasherati na wizi ulikiwepo lakini mwenyezi mungu akuwaangamiza ila walipofikia kwenye ushoga na u lesbian mungu akuwaacha ndio mjue ukubwa na ubaya wa iyo dhambi..Note; shoga hana haki ya kuishi..kill them all
 
😂🤣Halafu ubasha unazaa roho ya ushonga.
 
Mimi naishi hapa kwa Nyerere mzungu ananibagua saa ngapi?

Ukweli ni kwamba ubaguzi hauwezi kuisha. Hivyo hata mashoga nitaendelea kuwabagua hadi mwisho wa uhai wangu.
 
Why reference from UK government?

Kwani sisi ni wazungu au tunafanana kimaadili katika jamii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…