Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

That's my girl, [emoji8]
Anawazungumzia teenagers huko, yaani Ugali Dagaa na Bamia ulivyo mtamu unaanzaje kufikiria kujiua kisa maneno ya waliokata tamaa za Maisha,

Kila siku nasema Homophobic wote ni Maskini ambapo sifa kubwa ya Maskini ni kulaumu wengine kupitia magumu yake anayopitia,

Angalia hata humu wengi ni graduates waliokosa Ajira, wengine ni Watu wazima umri ushamtupa lakini bado yupo kwenye Nyumba ya Kupanga na Watoto rundo, wengine wanafanya kazi yenye Mshahara mdogo kipato chake kanaishia kwenye kula na kulipa bills, wengine wana Madeni hadi kwenye kope na hawana uhakika wa kuyalipa, list ni ndefu, [emoji119]

Kiufupi Mtu anayechukia Ushoga ni sababu na yeye anajichukia, sasa alitarajia kuona Mashoga wanaishi Maisha ya kukosa Furaha, Maisha ya Kifukara, Maisha ya Kuteseka lakini ndio kwaaaaaaaanza furaha kama zote na Bata linaliwa hadi Kuku wanaona wivu.

[emoji2380][emoji2380]
Babeeeeeh, nimeifanyia lamination hii comment.

Love u baee, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
 
Nyie mnaofananisha ushoga na dhambi nyingine kama uzinzi,wizi na uasherati inabidi mkapimwe mental , toka enzi izo za mitume uzinzi,uasherati na wizi ulikiwepo lakini mwenyezi mungu akuwaangamiza ila walipofikia kwenye ushoga na u lesbian mungu akuwaacha ndio mjue ukubwa na ubaya wa iyo dhambi..Note; shoga hana haki ya kuishi..kill them all
Hivi nawe nae unajiona uko timamu? Sasa km uliangamizwa na kuteketezwa wote huu wa sasa umekujaje? Na km zamani aliweza kuangamiza, nn kinamshinda sahivi kuangamiza? Si aangamize tena sahivi kwan anakwama wapi?

Yaan nikiona mtu analeta hoja ya dini, nampuuza na kumshusha kabisaaa, na ukasome vizuri vitabu vya dini, mbweha wee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Babeeeeeh, nimeifanyia lamination hii comment.

Love u baee, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
Love you more mke wangu mzuri mzuri [emoji8]

Ukweli lazima waambiwe japo unauma.
[emoji23]
 
Maskini, lugha imekupiga chenga ila upo busy kupinga Ushoga, lol
Nimegundua humu ndani hamna hoja za kujibu,kazi kuongea mipasho ya kibarazani.

Mimi nimeuliza swali either nilitaka kujua kwa nini tufike huku.Kama wewe ni mtu makini na mwenye akili katika jamii si ujibu swali langu.

Sijasema kibaya kuhusu mashoga ila unaanza niattack mara masikini mara lugha inanipiga chenga mara nipo busy kupinga ushoga blah blah blah.Hizi ni dalili za inferiority complex.

Kama huwezi jibu swali langu as matured na mwenye upeo unategemea jamii ikukubali kweli?

If you want to impose something,know how to convince critically not brutally.
 
Nimegundua humu ndani hamna hoja za kujibu,kazi kuongea mipasho ya kibarazani.

Mimi nimeuliza swali either nilitaka kujua kwa nini tufike huku.Kama wewe ni mtu makini na mwenye akili katika jamii si ujibu swali langu.

Sijasema kibaya kuhusu mashoga ila unaanza niattack mara masikini mara lugha inanipiga chenga mara nipo busy kupinga ushoga blah blah blah.Hizi ni dalili za inferiority complex.

Kama huwezi jibu swali langu as matured na mwenye upeo unategemea jamii ikukubali kweli?

If you want to impose something,know how to convince critically not brutally.
Kwani wee uliuliza swali gani ambalo hujajibiwa? Basis uliza tena.
Tatizo lenu hamtaki kukubali mnachohibiwa mnahemkwa.
 
Majitu meusi yamebaguliwa,yameteswa kwa ajiri tuu ya rangi zao lakini hamjifunzi ubaguzi wa aina yeyote ni kitu kibaya na cha ovyo sana, watu kama wewe nafurahia sana mkiaibishwa, kuuliwa na kuteswa sababu ya rangi zenu nyeusi, wazungu wakikataa kuwapa mikono au msiingie Hotel zao mnalia ubaguzi kama ndege pori
Wapumbav Sana hawa ubaguzi wao wamekarifi ni WA rangi Tu , ubaguzi Una uzito Sawa as long as unayembagua ni binadamu kama wewe , Haki za kila binadamu zizingatiwe , Huna Haki ya kumpigia au kumuua mtu mwingine au kumbagua Kwa misingi ya rangi , jinsia , kipato , mtizamo , itikadi NK .
 
Kwani wee uliuliza swali gani ambalo hujajibiwa? Basis uliza tena.
Tatizo lenu hamtaki kukubali mnachohibiwa mnahemkwa.
Sio kila mtu ana mihemko.There are intelligents,anywhere in the society.

Ningependa Culture Me aje kistaarabu kujibu swali langu ili tuamini ninyi mna ustaarabu.Sio jamii inawaacha na mambo yenu,alafu ninyi mnaingilia yao.

Just a simple example shoga kuingia choo cha kiume wakati hisia yake ni ya kike.Hii ina potray dhana gani?Yani mtu kavaa nguo za kike,nywele bandia za kike,lips 👄 za kike n.k anaingia choo cha wanaume.Sasa hauoni huu ni udhalilishaji wa jinsi 'me'.

Binafsi siwezi kuua au zuia haki ya mtu ambayo hainiathiri ila siwezi kukubali haki ya mtu iniathiri.Ingekuwa vyema uyo shoga angeingia choo cha kike.

Hapa huyu shoga alitaka haki yake iheshimiwe ila hakuheshimu haki ya wanaume ya kuheshimika katika jamii ya uanaume wao.Binafsi sijakubaliana na mauaji ila pia sijakubaliana na jinsia 'me' kudharirishwa.Ni vyema mashoga wajue kuwa wanazo limitations za haki zao sio kutaka easy going ya kila matakwa yao.

Human rights must be respected but THERE ARE LIMITATIONS OF HUMAN RIGHTS.
 
Sio kila mtu ana mihemko.There are intelligents,anywhere in the society.

Ningependa Culture Me aje kistaarabu kujibu swali langu ili tuamini ninyi mna ustaarabu.Sio jamii inawaacha na mambo yenu,alafu ninyi mnaingilia yao.

Just a simple example shoga kuingia choo cha kiume wakati hisia yake ni ya kike.Hii ina potray dhana gani?Yani mtu kavaa nguo za kike,nywele bandia za kike,lips 👄 za kike n.k anaingia choo cha wanaume.Sasa hauoni huu ni udhalilishaji wa jinsi 'me'.

Binafsi siwezi kuua au zuia haki ya mtu ambayo hainiathiri ila siwezi kukubali haki ya mtu iniathiri.Ingekuwa vyema uyo shoga angeingia choo cha kike.

Hapa huyu shoga alitaka haki yake iheshimiwe ila hakuheshimu haki ya wanaume ya kuheshimika katika jamii ya uanaume wao.Binafsi sijakubaliana na mauaji ila pia sijakubaliana na jinsia 'me' kudharirishwa.Ni vyema mashoga wajue kuwa wanazo limitations za haki zao sio kutaka easy going ya kila matakwa yao.

Human rights must be respected but THERE ARE LIMITATIONS OF HUMAN RIGHTS.
Suala la ushoga ukileta habari za human right sijui haki jua utashindwa kulipiga na kulitokomezaa... hakuna huo upuuzi kwa watu wanaoleta tabia za ovyoo kwenye jamii sawa na ukitaka kutokomeza ujambazii... weka chumaa tuu wanaobaki akili zitawakaa sawaa.
 
Suala la ushoga ukileta habari za human right sijui haki jua utashindwa kulipiga na kulitokomezaa... hakuna huo upuuzi kwa watu wanaoleta tabia za ovyoo kwenye jamii sawa na ukitaka kutokomeza ujambazii... weka chumaa tuu wanaobaki akili zitawakaa sawaa.
Hii ni misimamo mizuri katika jamii iliyostaarabika.Ila kwa kuangalia upepo wa dunia ya sasa,hakuna ustaarabu hata chembe katika jamii.

Kwa wale wenye imani wanaweza sema zile siku zimekaribia.

Ushoga kuisha duniani ni uongo ulio dhahiri na kila siku unazidi kukua.Falsafa yangu niliyonayo ni hii 'hakikisha familia yako inakuwa straight genders kwa kuzingatia maadili pamoja na lishe bora,ili kuimarisha afya ya mwili na akili.Vilevile usikubali shoga akataka kuingilia haki zako'

Hata tukisema wauwawe hawawezi kuisha kutokana na agenda za nchi za kimagharibi na mikakati ya new world order.Kama vile ujambazi,wizi,uchawi,uzinzi n.k ambavyo babu na mababu wameshindwa kuvitokomeza kuisha kabisa hadi leo.

Sijamaanisha kuwa hiyo ni haki yao katika jamii zetu.Kila mmoja anajua kuwa jamii ya Tanzania haikubali ushoga na ndiyo maana haipo katika katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

Sikubaliani na ushoga hata chembe ila ninajua dhahiri jamii haitoweza kupambana nao kwa asilimia 100.Cha msingi tuombe tu asije ingia Rais akakubali matakwa ya mabeberu kuhalalisha ushoga katika jamii yetu ya Tanzania.
 
"...
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn?"
 
Back
Top Bottom