Matukio ya Ushoga duniani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekuja kwa hater mkuu wa watu wa aina yake. Mbna ana tabu sasa, muhudumie mgonjwa vizuri.

Ukute uongo tyuuh.
amini tena why nidanganye....yani daah wana tabu sana kila mteja anampisha anaogopa kuongea ikabdi nimpe flucamox tab...ornidazole na mupirocin
 
"Kupitia huyu Emmanuel, alikua sahihi kwenda choo cha kiume, sababu ndio choo cha jinsia yake"

Jinsia yake ipi iyo?

Unajua maana ya jinsia.Usitake kulazimisha jamii ya Kitanzania ikakubali kuwa na mahusiano ya kijamii na mashoga.

ANZISHENI JINSIA YENU,jamii yenu ambayo itakuwa na vyoo vya jinsia yenu

Kwa hiyo ninyi hii ndiyo akili mliyonayo,eti jinsia yake.

Hata nina ualakini na jinsi ya shoga.Jinsi ya mwanaume ina uume unaosimama na anatomba.Sasa ninyi uume hausimami na unafirwa.Unataka kusema una jinsi 'me' wakati hiko kiungo ni useless.Think critically.
 
Nani alikufa? Mbna hadi watu wanatoa video na zinasambaa mtaani, hakna kinachofanyika? Panda juu nimejibu dukuduku lenu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu anasema eti Rais asikubali ushoga, sasa akubali mara ngapi? Akati tayar ni ruksa na halali. Weraaaaaaaah.

Mambo pambeeeeeee, [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] 4 life.
 
kumbe na wewe ndio kundi moja
 
Hata mimi nimeona amekujibu kitoto na kimhemko na sijui kama alisoma post yako vizuri na kwa utulivu.
 
Emmanuel, jinsia yake ni "Me" ndo maana akaenda choo anachopaswa kujisaidia, nimekuuliza hivi, umewahi kuona Tom boy anaenda ktk choo cha kiume kujisaidia?

Unashindwa kujadili kwa weledi, unaanza kuhemkwa, ndo nilikuambia mda tatizo lenu hamtaki kukubali mnachohibiwa. Hapa umethibitisha mwenyewee.

Nani aliyekuambia shoga uume hausimami? Acha kuwa bitter calm down buddah, afu ukianza kuwa na lugha isiyofaa ndo utaharibu kabisaa, maana mie ndo ntaharibu zaidi yako.

Kwa kukusaidia tafuta Elimu ya ujinsia ili ufaidike na ubongo wako upate chakula. Relaaaaaaaaaaxxxxxxxxxxxx.
 
Ulaya hakuna mtu atasamehe muuaji wa shoga. Wanasema watu wawe huru kubanduana watakavyo

Cc. Humanright watch,
Bcc. EUFA Champions League
 
Mashoga ndio waliosababisha sodoma na gomola kupigwa moto

Sio kweli kwamba kila binadamu anapaswa aishi atakavyo!!

Hao mashoga ndio walikuwa sababu ya wengine kujumlishwa kwenye ghadhabu ile huko sodoma na gomola,

Ukibahatika kumuona shoga, ikiwa hataki habari za Mungu, anataka kusababisha hasira ya Mungu iwake Kwa maana samaki mmoja akioza wote wameoza!

Shoga atimuliwe kabisaa!! Akae mbali na ustarabu wa Mungu ikiwa hataki sheria za aliyemuumba! Anyooshwe tuu Kwa kila aina ya kipigo!
 
Unasoma vitabu vya dini vizuri wee? Au huwa unakurupuka na mstari m1 m1? Rudi tena kasome upya na uelewe, acha kujichoresha hapa, lol.
 
Sijakwambia kua wewe akili zako za kuazima??
Kwanza unachanganya kati ya Jinsi (Sex) na Jinsia (Gender) soma kwanza vitu uelewe,

Ushoga na Jinsi wapi na wapi, kilaza mwenzio kule juu nimewambia akasome Sexual Identity na Gender Identity na wewe nakutuma ukafanye hivyo kisha uje ku argue hapa,

Hivi unajua kuna Watu wana Jinsi Tata (Intersex) sasa nakupa na hiyo ukasome,

Natamani nikuelezee in deep ila Ubongo wako hauna nafasi ya kupokea vitu vikubwa zaidi uta bust, lol

Emojis zinakukera eeeh uzoeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji2][emoji119]
 
Hata mimi nimeona amekujibu kitoto na kimhemko na sijui kama alisoma post yako vizuri na kwa utulivu.
Kwanini hukumjibu wewe kiutu uzima??
Mimi Culture niwe na Mihemko Mimiiii lol kwa kua hunijui tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeee, yaan kaniacha hoi mie, nilitegemea ni akili kubwa km alivyojinasibu, kumbe hollaaaah.

Aseeeeeh kazi ipo hapa, khaaaaah.
 
Nilikuwa sina time na ushoga ila kwa akili zako bora ushoga upigwe vita mara moja kwa haraka.Kumbe ndivyo bongo zenu zinafanya kazi.

Hahahahahaha my ribs, sasa wewe ni nani hadi unatoa amri eti upigwe vita mara moja,

Maskini mnajua kujifaraghua sana, katafute Mkate wa Watoto wako mambo ya Mashoga hutayaweza wala kuyamaliza,

Hizo Hasira zako ungezipeleka kwenye kufanya kazi ukuze Kipato chako.

[emoji23][emoji2380][emoji23][emoji304][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeee, yaan kaniacha hoi mie, nilitegemea ni akili kubwa km alivyojinasibu, kumbe hollaaaah.

Aseeeeeh kazi ipo hapa, khaaaaah.
Eti anaamrisha Ushoga upigwe Vita mara moja [emoji1787]
Seriously nimecheka kwa nguvuuuuu

Mwenzio hapendi unavyotumia Emojis asije akakurushia kiatu babe wangu kaa nae mbali huyo [emoji1787]
 
Kwa jinsi ulivyoileta humu, nawe ni moja wao.
Ingawa pia siungi mkono kuhukumiana nje ya mahakama.
 

Ha ha ha!!! Video hata utupie ngapi hazina issue, ila ingia gesti na mwanaume mwenzio uone shughuli yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…