amini tena why nidanganye....yani daah wana tabu sana kila mteja anampisha anaogopa kuongea ikabdi nimpe flucamox tab...ornidazole na mupirocin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekuja kwa hater mkuu wa watu wa aina yake. Mbna ana tabu sasa, muhudumie mgonjwa vizuri.
Ukute uongo tyuuh.
"Kupitia huyu Emmanuel, alikua sahihi kwenda choo cha kiume, sababu ndio choo cha jinsia yake"Ustaarabu kwa shoga utakuwepo pale km hawa straight watakua wastaarabu kwake, hakna shoga ataanzisha lugha isiyofaa kwa mtu mstaarabu pasipo sababu, hilo sasa n tatizo binafsi,
Yes nimefurahi kuna kitu umezungumzia hapa, suala la shoga kuwa fame. kwanza utambue shoga hata awe vipi yaan hata iweje kama hajabadili jinsia atabaki kuwa na jinsi "Me" km ambavyo alizaliwa na jinsi hiyo (maumbile). Hivyo kuna baadhi ya mambo atafanya kulingana na matakwa ya jinsia yake, ni lazima sio hiyari. Na iko hivyo haitabadilika.
Ngoja nikuambie kitu ambacho nataka uelewe, shoga kuvaa nguo za kike, kujipodoa, kujishaua, hakuondoi maumbile yake ya asili, hivyo kuna mambo lazima afanye kulingana na maumbile yake, haijalishi nn n nn.
Kupitia huyu Emmanuel, alikua sahihi kwenda choo cha kiume, sababu ndio choo cha jinsia yake, kwan umewahi kuona Tom boy anaenda kujisaidia choo cha kiume? Hasa huko vyoo vya bar au sehemu yeyote ya public? Unadhan n kwan? Jibu utakua nalo mwenyewe sasa,
Unazungumzia udhalilishaji wa uanaume mbele ya jamii, na hii ndo 1 ya sababu kuu ya mashoga kuchukiwa, hebu nikuulize Shoga ana udhalilisha vipi uanaume mbele ya jamii? Kwan hao mashoga huwa wana date na kina nan? Ambapo uone uanaume unadhalilishwa? Yaan wanaume wawili walio Pa1 wanaamua kuudhalilisha uanaume wao, kwann mtu m1 kati ya hao ndo apewe lawama au abebe mzigo wa hukumu? Hebu nidadavulie nipate kuelewa.
Human Rights ina mipaka, taratibu na hatua zake hakna asiyejua wala kufahamu, hilo liko wazi, naomba tuelewane hapa.
Nani alikufa? Mbna hadi watu wanatoa video na zinasambaa mtaani, hakna kinachofanyika? Panda juu nimejibu dukuduku lenu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha!! Mwanaume kwa mwanamke wanafanya kwa faragha ila tunajua wanachokifanya humo na tunakubali maana huo ndio msingi wa jamii, hapo ndio tunapata uzao mpya, ila wewe uingie na mwanaume mwenzako faragha aku.fire, hakikisha mnaifanya kwa siri kubwa sana msije kushtukiwa maana kifo lazima.
kumbe na wewe ndio kundi mojaKaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Hata mimi nimeona amekujibu kitoto na kimhemko na sijui kama alisoma post yako vizuri na kwa utulivu.Mpaka kufiria ninaongea kwa mihemko na jazba ni dhahiri wewe ndiyo unaongea kwa mihemko.What a garbage.
Kutype emoji za kucheka cheka kwenye mambo ya msingi,mara tema mate tumchape ni akili za kitoto.What a shame.
Nilikuwa sina time na ushoga ila kwa akili zako bora ushoga upigwe vita mara moja kwa haraka.Kumbe ndivyo bongo zenu zinafanya kazi.
Emmanuel, jinsia yake ni "Me" ndo maana akaenda choo anachopaswa kujisaidia, nimekuuliza hivi, umewahi kuona Tom boy anaenda ktk choo cha kiume kujisaidia?"Kupitia huyu Emmanuel, alikua sahihi kwenda choo cha kiume, sababu ndio choo cha jinsia yake"
Jinsia yake ipi iyo?
Unajua maana ya jinsia.Usitake kulazimisha jamii ya Kitanzania ikakubali kuwa na mahusiano ya kijamii na mashoga.
ANZISHENI JINSIA YENU,jamii yenu ambayo itakuwa na vyoo vya jinsia yenu
Kwa hiyo ninyi hii ndiyo akili mliyonayo,eti jinsia yake.
Hata nina ualakini na jinsi ya shoga.Jinsi ya mwanaume ina uume unaosimama na anatomba.Sasa ninyi uume hausimami na unafirwa.Unataka kusema una jinsi 'me' wakati hiko kiungo ni useless.Think critically.
Kiongozi wao.kumbe na wewe ndio kundi moja
Mashoga ndio waliosababisha sodoma na gomola kupigwa motoKaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Unasoma vitabu vya dini vizuri wee? Au huwa unakurupuka na mstari m1 m1? Rudi tena kasome upya na uelewe, acha kujichoresha hapa, lol.Mashoga ndio waliosababisha sodoma na gomola kupigwa moto
Sio kweli kwamba kila binadamu anapaswa aishi atakavyo!!
Hao mashoga ndio walikuwa sababu ya wengine kujumlishwa kwenye ghadhabu ile huko sodoma na gomola,
Ukibahatika kumuona shoga, ikiwa hataki habari za Mungu, anataka kusababisha hasira ya Mungu iwake Kwa maana samaki mmoja akioza wote wameoza!
Shoga atimuliwe kabisaa!! Akae mbali na ustarabu wa Mungu ikiwa hataki sheria za aliyemuumba! Anyooshwe tuu Kwa kila aina ya kipigo!
Ushoga ni laana! Acha ushoga, mrudie Muumba wakoUnasoma vitabu vya dini vizuri wee? Au huwa unakurupuka na mstari m1 m1? Rudi tena kasome upya na uelewe, acha kujichoresha hapa, lol.
Sijakwambia kua wewe akili zako za kuazima??"Kupitia huyu Emmanuel, alikua sahihi kwenda choo cha kiume, sababu ndio choo cha jinsia yake"
Jinsia yake ipi iyo?
Unajua maana ya jinsia.Usitake kulazimisha jamii ya Kitanzania ikakubali kuwa na mahusiano ya kijamii na mashoga.
ANZISHENI JINSIA YENU,jamii yenu ambayo itakuwa na vyoo vya jinsia yenu
Kwa hiyo ninyi hii ndiyo akili mliyonayo,eti jinsia yake.
Hata nina ualakini na jinsi ya shoga.Jinsi ya mwanaume ina uume unaosimama na anatomba.Sasa ninyi uume hausimami na unafirwa.Unataka kusema una jinsi 'me' wakati hiko kiungo ni useless.Think critically.
Kwanini hukumjibu wewe kiutu uzima??Hata mimi nimeona amekujibu kitoto na kimhemko na sijui kama alisoma post yako vizuri na kwa utulivu.
Na wewe uache ufiraji,Ushoga ni laana! Acha ushoga, mrudie Muumba wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeee, yaan kaniacha hoi mie, nilitegemea ni akili kubwa km alivyojinasibu, kumbe hollaaaah.Sijakwambia kua wewe akili zako za kuazima??
Kwanza unachanganya kati ya Jinsi (Sex) na Jinsia (Gender) soma kwanza vitu uelewe,
Ushoga na Jinsi wapi na wapi, kilaza mwenzio kule juu nimewambia akasome Sexual Identity na Gender Identity na wewe nakutuma ukafanye hivyo kisha uje ku argue hapa,
Hivi unajua kuna Watu wana Jinsi Tata (Intersex) sasa nakupa na hiyo ukasome,
Natamani nikuelezee in deep ila Ubongo wako hauna nafasi ya kupokea vitu vikubwa zaidi uta bust, lol
Emojis zinakukera eeeh uzoeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji2][emoji119]
Nilikuwa sina time na ushoga ila kwa akili zako bora ushoga upigwe vita mara moja kwa haraka.Kumbe ndivyo bongo zenu zinafanya kazi.
Eti anaamrisha Ushoga upigwe Vita mara moja [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeee, yaan kaniacha hoi mie, nilitegemea ni akili kubwa km alivyojinasibu, kumbe hollaaaah.
Aseeeeeh kazi ipo hapa, khaaaaah.
Kwa jinsi ulivyoileta humu, nawe ni moja wao.Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Nani alikufa? Mbna hadi watu wanatoa video na zinasambaa mtaani, hakna kinachofanyika? Panda juu nimejibu dukuduku lenu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu anasema eti Rais asikubali ushoga, sasa akubali mara ngapi? Akati tayar ni ruksa na halali. Weraaaaaaaah.
Mambo pambeeeeeee, [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] 4 life.