Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako wee ndo ulivyo tafsiri.HIVYO NDIVYO UBONGO WAKO ULIVYOTAFSIRI.
Duuuh ipi hiyo ya Tabata au Sinza? Hawaogopi hao mashoga? Mmmmh ndo maana wananyeshwa sumu kwa kinywaji baadhi yao. Duuuh.Nenda kitambaa cheupe pale, wamejaa kama kumbikumbi, ndio maana ile bar inajaza sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nalilia marinda yako uliyoyachezea we dogo. Acha Ushoga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee kaanzishe uzi, ndo watakusikia na kukuelewa.
Maskini hadi unataka kulia,. Woiiiiiiiiih
Sasa nimejua kwanini unaililia UkraineUliwatamani, si useme ukweli tyuuh.
Hivi naomba kujuzwa Ushoga unaigwa vipi na watoto? Yaan hebu nieleze.
Uliwajuaje kama ni Mashoga??Jana jioni (juma2) hapa chuo fulani Morogoro nacheki game uwanjani nikaona mapunga mawili yamelegea kama mlenda mood ya game ikakata nikaondoka pale. Sikuwahi kuona punga kwa karibu! Kumbe nami ilitakiwa nichukue hatua stahiki! Naanza kutembea na jambia sasa.
Bado zamu yako wewe mleta mada
huyu mleta mada ni shoga 100% huwa anautetea kwa nguvu zote. Aisee bora kuwa mwizi ila sio kupinga natureJana jioni (juma2) hapa chuo fulani Morogoro nacheki game uwanjani nikaona mapunga mawili yamelegea kama mlenda mood ya game ikakata nikaondoka pale. Sikuwahi kuona punga kwa karibu! Kumbe nami ilitakiwa nichukue hatua stahiki! Naanza kutembea na jambia sasa.
Bado zamu yako wewe mleta mada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti hapa, njoo uniachishe wee bas.Nalilia marinda yako uliyoyachezea we dogo. Acha Ushoga
Wee dea huyo ni basha, afu akakataliwa ndo anakua bitter.Uliwajuaje kama ni Mashoga??
Kulegea kwao ushapigia mstari kua ni mashoga?
Hujaelewa, ukakurupuka kuji defend, nimekuuliza watoto wanaiga vipi ushoga, yaan nieleze. Nna maana yangu kuuliza hivyo.Watoto hukua kwa kuiga tunayo yafanya, na ndivyo imekua karne zote utakua una matatizo kama hukulijua hilo.
Hawajawahi kua na jibu zaidi aje na panic attack, lolHujaelewa, ukakurupuka kuji defend, nimekuuliza watoto wanaiga vipi ushoga, yaan nieleze. Nna maana yangu kuuliza hivyo.
Kabisa. Wakati wako hauoni hoja yoyote wangu unapinga jamii ya mashoga. HATUFANANI.Wako wee ndo ulivyo tafsiri.
Nilisema mimi Panya Road tunao humu humu kwenye mitando, yaan unasapoti wizi kisa unapinga ushoga....huyu mleta mada ni shoga 100% huwa anautetea kwa nguvu zote. Aisee bora kuwa mwizi ila sio kupinga nature
wewe mwenyewe shogaKaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Katika Watu nilidhani wana akili na busara humu Jf wew ulikua mmoja wao,Hawa watu ni wa kuangamiza kabisa hata miili yao isionekane....ni laana kwenye jamii na taifa kwa ujumla.......ni laana kujishikimanisha na watu wa aina hiyo hayo ni MASHETANI wenye sura ya mwanadamu.....hao sio wanadamu wenzetu......ni kwa sababu tu watu tunaogopa mikono ya sheria lakini vinginevyo.....
Hata kama nimepanda gari nikigundua nimepanda na mtu aina hiyo au mwenye viashiria vya aina hiyo nashuka hata kama ni porini....ni kheri niliwe na Simba kuliko kuambatana na watu hao......
DISGUSTING CREATURES......
Mbona kama umefurahia?,sorry ikiwa kijana wako akiwa na mienendo ya kishoga bado utakuwa upo na furaha kabisa kama hii ulioionyesha hapaWape Wape hao, usisahau kumwita Culture Me aje awape sindano za moto