Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Babeeee niko poaaaa, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

Hawa watu uwezo wao wa kufikiri unatia wasi wasi, kwa style hii, Taifa kuendelea itachukua karne. Daaah
Wangapi humu jf wamesha kula?
 
Nilisema mimi Panya Road tunao humu humu kwenye mitando, yaan unasapoti wizi kisa unapinga ushoga....

Hebu leta faida 5 za Wizi na Hasara 5 za Ushoga
Tena alete tuzichambue kwa kina, yaan watu uwezo wao wa kufikirika, unaleta shaka mnoo.
 
Katika Watu nilidhani wana akili na busara humu Jf wew ulikua mmoja wao,

Ila sasa heshima kwako nimeiondoa, yaani nimekudharau japo hatujuani wala sikusaidii chochote ila jua Culture Me wa JF amenishusha vyeo na kuniweka kundi la wajinga.
Sio huyo tyuuh babeee, wako wengii mnooo, unaweza dhani bas huyu mtu ni akili kubwa na anajitambua ana busara, kumbeee ni tabu tupuuuu.

Wee wazoee tyuuh.
 
Relaaaaaax
Wewe unahitaji kurelax zaidi sababu unatetea jambo ambalo linapingwa na wengi. Unahitaji kuwa calm wakati wote wa project yako kuliko mm ninayekupinga.
 
Hawa watu ni wa kuangamiza kabisa hata miili yao isionekane....ni laana kwenye jamii na taifa kwa ujumla.......ni laana kujishikimanisha na watu wa aina hiyo hayo ni MASHETANI wenye sura ya mwanadamu.....hao sio wanadamu wenzetu......ni kwa sababu tu watu tunaogopa mikono ya sheria lakini vinginevyo.....

Hata kama nimepanda gari nikigundua nimepanda na mtu aina hiyo au mwenye viashiria vya aina hiyo nashuka hata kama ni porini....ni kheri niliwe na Simba kuliko kuambatana na watu hao......

DISGUSTING CREATURES......
Waovu wote wakemewe na kupewa adhabu yenye ukubwa wowote kulingana na uovu wao, siyo kuuliwa. Kwani wewe hautendi dhambi? Mbona hauuliwi?
 
Ushoga ni saratani katika jamii yetu. Inabidi tupambane nao kwa namna yoyote tuwezavyo isipokuwa tu kuua.

Tutunge sheria kali dhidi yao na tuzisimamie. Mashoga, majambazi, mafisadi, wauza madawa ya kulevya, waongo, na wengineo washughulikiwe.

Wanaharibu jamii zetu na ni kero mbele ya Mungu.
 
Sio lazima ujibiwe utakavyo, mkifanya ushoga watoto wataiga na kuishia kuliwa huko nyuma wakikua....
Muwe mnafanya kwa siri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnaopinga ushoga, huwa hamna sababu za msingi, yaan mnaokoteza vijisababu na vingne havina mantiki ili hali muoneshe pingamizi ni halali. Khaaaaaah

Hatareee sana
 
Wewe unahitaji kurelax zaidi sababu unatetea jambo ambalo linapingwa na wengi. Unahitaji kuwa calm wakati wote wa project yako kuliko mm ninayekupinga.
Kwan hata huo uwezo wa kupinga mnao sasa? Au mnalia lia mitandaoni? Si ni tukio hili 1 tyuuh, but kuwa, mpoleee soon mtafurahishwaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom