Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Jabir Hamisi, mkazi wa mtaa wa Mwatulole, mkoani Geita, amenusurika kuuawa kwa kipigo na mamia ya wananchi, baada ya kukutwa akiwa na kundi la watoto wadogo, akiwafundisha vitendo vya ushoga na ulawiti, hali iliyolazimu Jeshi la Polisi mkoani humo kuingilia kati na kumuondoa katika eneo hilo, kunusuru maisha yake.

View attachment 2433599
Apelekwe huko gerezani akalawitiwe aone uchungu
 
Halafu kuna watu wana kazana kusema dini ni moja tu duniani.! mara sijui ni dini ya Allah.#pumb.avuu
Kwani taarifa hii ina uhusiano gani na uislamu? Mimi ni mkristo kwasababu baba yangu ni mkristo ila mama yangu ni muislamu safi kabisa kwahiyo nina bahati ya kuzijua hizi dini kwasababu kipindi kile niko dogo shule zikifungwa naenda kumtembelea mama na kanuni za pale mtoto yeyote ikifika saa 9 tu lazima uende madrasa,kiufupi uislamu naujua kwakiasi fulani na ukristo nao naujua kwasababu ndio nauuishi hadi leo,kwataarifa yako hakuna dini yenye mafundisho yaliyonyooka hapa duniani kama uislamu,kwenye Quran hamna sijui nani kaondoa sijui baadhi ya maneno kwenye swala
 
Kwani taarifa hii ina uhusiano gani na uislamu? Mimi ni mkristo kwasababu baba yangu ni mkristo ila mama yangu ni muislamu safi kabisa kwahiyo nina bahati ya kuzijua hizi dini kwasababu kipindi kile niko dogo shule zikifungwa naenda kumtembelea mama na kanuni za pale mtoto yeyote ikifika saa 9 tu lazima uende madrasa,kiufupi uislamu naujua kwakiasi fulani na ukristo nao naujua kwasababu ndio nauuishi hadi leo,kwataarifa yako hakuna dini yenye mafundisho yaliyonyooka hapa duniani kama uislamu,kwenye Quran hamna sijui nani kaondoa sijui baadhi ya maneno kwenye swala
Ukuu wa imani au dini ya mtu ni matendo yake.sio brah brah zenu
 
Ukuu wa imani au dini ya mtu ni matendo yake.sio brah brah zenu
akiwa na matendo yapi ndio wa hiyo dini na akiwa na matendo yapi ndio si wa hiyo dini?
Pope benedict amapdri katoliki huko Australia walibaka watoto na kudhalilisha, akasema anawaomba wache , je yeye alisema wasihusishwe na dini? kwanini mtu wa dini yako akifanya uovu unamkana badala ya kukubali na kukemea?

Mapadre, wachungaji wakifanya kosa wanasemwa, wanapostiwa mitandaoni na wanakemewa ila watu wa upande wako unawakana, wewe ni nani useme huyu si dini yangu, wewe MUNGU wewe?>
 
Zaman niliwachukia mashoga sana lakin nimeelewa tu atakaewahukumu ni Mungu sisi pia wengine ni wadhambi wakubwa tu na wanafiki hali ya juu
Unachukiaje madhara ya risasi bila kuchukia bunduki inayoibeba. Ushoga unabebwa na watu wanaoufanya na wanaousupport.

Kuna haja ya kuzungumzia madhara ya ushoga kwenye jamii especially kwenye familia?!
 
Back
Top Bottom