Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndio usome vizuri. walimkatalia kwa kuwa hajabadili jinsia bado ni shoga tu na sio trans..Wachangiaji kuna kitu hamjakielewa huyo ni mbadili jinsia (Transwoman) na sio Shoga (Gay), ndio maana ameshinda hiyo kesi sababu transwoman ni mwanamke kama mwanamke mwingine na angekua shoga basi asingeruhusiwa kutumia choo cha kike,
Culture Me uje utoe darasa siku moja.
Hujui maana ya transgender ndio maana, na hata ukisoma hayo maelezo ya kingereza wamesema trans na sio gay,We ndio usome vizuri. walimkatalia kwa kuwa hajabadili jinsia bado ni shoga tu na sio trans..
Niongeze maarifu ya ujinga ili iweje ? Huo muda sina bora niendelee kukimbiza noti kwanza.Hujui maana ya transgender ndio maana, na hata ukisoma hayo maelezo ya kingereza wamesema trans na sio gay,
Kasome kuhusu transgender na transsexual ujiongezee maarifa.
Huyo ndio mswahili hapendi kupata maarifa ila anajua kubishana,Niongeze maarifu ya ujinga ili iweje ? Huo muda sina bora niendelee kukimbiza noti kwanza.
Daaaaaa maarifa ya kuliwa...........Huyo ndio mswahili hapendi kupata maarifa ila anajua kubishana,
Haya kasake noti Mnama.
Upo sahihi my Queen hujakosea maelezo yako,Wachangiaji kuna kitu hamjakielewa huyo ni mbadili jinsia (Transwoman) na sio Shoga (Gay), ndio maana ameshinda hiyo kesi sababu transwoman ni mwanamke kama mwanamke mwingine na angekua shoga basi asingeruhusiwa kutumia choo cha kike,
Culture Me uje utoe darasa siku moja.
Hii habari ina faida gani?Huko nje ukosefu wa maadili unatetewa na mahakama!!
Kuna mwanamume fulani huko Japani aliamua kuwa shoga lakini hakufanyiwa upasuaji ili kunyofoa sehemu yake binafsi na kubadilishiwa ya kike. Wizara alipokuwa anafanya kazi wakamzuia kutumia chumba cha wanawake cha kupumzikia ili kubadilisha nguo na kutumia choo na bafu hapo, kwa kuwa bado alikuwa na maumbile ya kiume. Ila aliruhusiwa kutumia sehemu ya wanaume kwa mapumziko, kubadilishia nguo na kutumia choo na bafu hapo.
Huyo jamaa hakuridhika na maamuzi ya wizara yake kwa hiyo akashitaki mahakamani. Mahakama hiyo ya chini ikampa ushindi jamaa huyo na wizara ikatakiwa na mahakama imlipe fidia kwa kumdhalilisha. Wizara ilipinga hukumu hiyo ikakata rufaa mahakama kuu. Mahakama kuu ikatoa ushindi kwa wizara kwa sababu jamaa alikuwa bado ana nyeti zake, ikaona atakuwa tishio kwa wanawake halisi!! Huyo shoga hakuridhika akaamua kukata rufaa mahakama ya juu (Supreme/top court).
Huko mahakama ya juu shoga huyo ameshinda kesi!! Wizara imeamuliwa imruhusu shoga mwenye nyeti zake atumie chumba cha mapumziko kubadilishia nguo na kutumia choo na bafu huko kwa "wanawake" wenzake. Kesi ilianza 2015 hadi mwaka huu 2023 ilipoamuliwa na mahakama ya juu kumpa ushindi shoga!! Tatizo ni kwamba wanawake halisi wanamwogopa!! hawamwamini!!
Japan’s top court rules on trans bathroom case
The judiciary said it was illegal to limit a transgender civil servant’s access to women’s restrooms at work
![]()
Lawyers speak to reporters following the Japanese Supreme Court's first ruling on LGBTQ+ rights in the workplace, at the Tokyo District Court in Tokyo, Japan, July 11, 2023. [emoji2398] AP / Eugene Hoshiko
The Supreme Court of Japan has struck down a Trade Ministry policy restricting the use of women’s bathrooms by a transgender official, deeming the regulation “illegal” and “unacceptable” following a years-long legal battle.
The court ruled against the policy unanimously on Tuesday, overturning a lower court decision in favor of the official, who has not been named. It said the Trade Ministry policy “significantly lacked validity by excessively considering the official's colleagues and not taking into account her personal circumstances.”
The transgender staffer first filed suit against the government in 2015 after being limited to use women’s bathrooms no more than two floors away from her workplace, which the ministry said was out of consideration for other female workers. She was also permitted to use any male restroom, but argued the restrictions were discriminatory.
...Nyeti zake ni za Kike au ni za Kiume' ?? Tuanzie Hapo kwanza....[emoji35]Wachangiaji kuna kitu hamjakielewa huyo ni mbadili jinsia (Transwoman) na sio Shoga (Gay), ndio maana ameshinda hiyo kesi sababu transwoman ni mwanamke kama mwanamke mwingine na angekua shoga basi asingeruhusiwa kutumia choo cha kike,
Culture Me uje utoe darasa siku moja.
...Hayo ni Maneno TU! Swali liko pale pale...ana Nyeti za Kike ama za Kiume' ??Hujui maana ya transgender ndio maana, na hata ukisoma hayo maelezo ya kingereza wamesema trans na sio gay,
Kasome kuhusu transgender na transsexual ujiongezee maarifa.
DuhWachangiaji kuna kitu hamjakielewa huyo ni mbadili jinsia (Transwoman) na sio Shoga (Gay), ndio maana ameshinda hiyo kesi sababu transwoman ni mwanamke kama mwanamke mwingine na angekua shoga basi asingeruhusiwa kutumia choo cha kike,
Culture Me uje utoe darasa siku moja.
Restroom ni maliwato (chooni), sio sehemu ya kupumzika.Huko nje ukosefu wa maadili unatetewa na mahakama!!
Kuna mwanamume fulani huko Japani aliamua kuwa shoga lakini hakufanyiwa upasuaji ili kunyofoa sehemu yake binafsi na kubadilishiwa ya kike. Wizara alipokuwa anafanya kazi wakamzuia kutumia chumba cha wanawake cha kupumzikia ili kubadilisha nguo na kutumia choo na bafu hapo, kwa kuwa bado alikuwa na maumbile ya kiume. Ila aliruhusiwa kutumia sehemu ya wanaume kwa mapumziko, kubadilishia nguo na kutumia choo na bafu hapo.
Huyo jamaa hakuridhika na maamuzi ya wizara yake kwa hiyo akashitaki mahakamani. Mahakama hiyo ya chini ikampa ushindi jamaa huyo na wizara ikatakiwa na mahakama imlipe fidia kwa kumdhalilisha. Wizara ilipinga hukumu hiyo ikakata rufaa mahakama kuu. Mahakama kuu ikatoa ushindi kwa wizara kwa sababu jamaa alikuwa bado ana nyeti zake, ikaona atakuwa tishio kwa wanawake halisi!! Huyo shoga hakuridhika akaamua kukata rufaa mahakama ya juu (Supreme/top court).
Huko mahakama ya juu shoga huyo ameshinda kesi!! Wizara imeamuliwa imruhusu shoga mwenye nyeti zake atumie chumba cha mapumziko kubadilishia nguo na kutumia choo na bafu huko kwa "wanawake" wenzake. Kesi ilianza 2015 hadi mwaka huu 2023 ilipoamuliwa na mahakama ya juu kumpa ushindi shoga!! Tatizo ni kwamba wanawake halisi wanamwogopa!! hawamwamini!!
Japan’s top court rules on trans bathroom case
The judiciary said it was illegal to limit a transgender civil servant’s access to women’s restrooms at work
![]()
Lawyers speak to reporters following the Japanese Supreme Court's first ruling on LGBTQ+ rights in the workplace, at the Tokyo District Court in Tokyo, Japan, July 11, 2023. [emoji2398] AP / Eugene Hoshiko
The Supreme Court of Japan has struck down a Trade Ministry policy restricting the use of women’s bathrooms by a transgender official, deeming the regulation “illegal” and “unacceptable” following a years-long legal battle.
The court ruled against the policy unanimously on Tuesday, overturning a lower court decision in favor of the official, who has not been named. It said the Trade Ministry policy “significantly lacked validity by excessively considering the official's colleagues and not taking into account her personal circumstances.”
The transgender staffer first filed suit against the government in 2015 after being limited to use women’s bathrooms no more than two floors away from her workplace, which the ministry said was out of consideration for other female workers. She was also permitted to use any male restroom, but argued the restrictions were discriminatory.
Kwamaelezo niliosoma mimi nikuwa nyeti zake bado ni za kiume sasa kwenye kujisibitisha kuwa kweli ye ni shoga sijajua wametumia kipimo gani...Nyeti zake ni za Kike au ni za Kiume' ?? Tuanzie Hapo kwanza....[emoji35]
Wewe ndio hujaelewa. Huyu ni transgender kwa maana ya kuwa ni mwanamume lakini ameamua kujiita mwanamke japo hajafanyiwa upasuiaji wa kuondoa nyeti zake!! Kwa hiyo wanaume wenzake wanamtumia kama mwanamke kwa hiyo ni shoga!!. Anavaa nguo za kike lakini akiwa na nyeti zake halisi!! Ndiyo maana wanawake wanamwogopa!!Wachangiaji kuna kitu hamjakielewa huyo ni mbadili jinsia (Transwoman) na sio Shoga (Gay), ndio maana ameshinda hiyo kesi sababu transwoman ni mwanamke kama mwanamke mwingine na angekua shoga basi asingeruhusiwa kutumia choo cha kike,
Culture Me uje utoe darasa siku moja.
Nimekumic mume wangu, [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Upo sahihi my Queen hujakosea maelezo yako,
Nikitulia nitaleta darasa la Gender kama uzi hautafutwa maana jf wamenikalia kooni hadi nakosa stimu za mahudhurio.
Unataka tujadili nini kwenye habar kama hii?Huko nje ukosefu wa maadili unatetewa na mahakama!!
Kuna mwanamume fulani huko Japani aliamua kuwa shoga lakini hakufanyiwa upasuaji ili kunyofoa sehemu yake binafsi na kubadilishiwa ya kike. Wizara alipokuwa anafanya kazi wakamzuia kutumia chumba cha wanawake cha kupumzikia ili kubadilisha nguo na kutumia choo na bafu hapo, kwa kuwa bado alikuwa na maumbile ya kiume. Ila aliruhusiwa kutumia sehemu ya wanaume kwa mapumziko, kubadilishia nguo na kutumia choo na bafu hapo.
Huyo jamaa hakuridhika na maamuzi ya wizara yake kwa hiyo akashitaki mahakamani. Mahakama hiyo ya chini ikampa ushindi jamaa huyo na wizara ikatakiwa na mahakama imlipe fidia kwa kumdhalilisha. Wizara ilipinga hukumu hiyo ikakata rufaa mahakama kuu. Mahakama kuu ikatoa ushindi kwa wizara kwa sababu jamaa alikuwa bado ana nyeti zake, ikaona atakuwa tishio kwa wanawake halisi!! Huyo shoga hakuridhika akaamua kukata rufaa mahakama ya juu (Supreme/top court).
Huko mahakama ya juu shoga huyo ameshinda kesi!! Wizara imeamuliwa imruhusu shoga mwenye nyeti zake atumie chumba cha mapumziko kubadilishia nguo na kutumia choo na bafu huko kwa "wanawake" wenzake. Kesi ilianza 2015 hadi mwaka huu 2023 ilipoamuliwa na mahakama ya juu kumpa ushindi shoga!! Tatizo ni kwamba wanawake halisi wanamwogopa!! hawamwamini!!
Japan’s top court rules on trans bathroom case
The judiciary said it was illegal to limit a transgender civil servant’s access to women’s restrooms at work
![]()
Lawyers speak to reporters following the Japanese Supreme Court's first ruling on LGBTQ+ rights in the workplace, at the Tokyo District Court in Tokyo, Japan, July 11, 2023. [emoji2398] AP / Eugene Hoshiko
The Supreme Court of Japan has struck down a Trade Ministry policy restricting the use of women’s bathrooms by a transgender official, deeming the regulation “illegal” and “unacceptable” following a years-long legal battle.
The court ruled against the policy unanimously on Tuesday, overturning a lower court decision in favor of the official, who has not been named. It said the Trade Ministry policy “significantly lacked validity by excessively considering the official's colleagues and not taking into account her personal circumstances.”
The transgender staffer first filed suit against the government in 2015 after being limited to use women’s bathrooms no more than two floors away from her workplace, which the ministry said was out of consideration for other female workers. She was also permitted to use any male restroom, but argued the restrictions were discriminatory.
Kwanza wapi wamesema Wanawake wanamuogopa? Maelezo ya Kiingereza ndio sahihi achana na huyo mtafsiri ambaye hajui hata maana ya restroom,Wewe ndio hujaelewa. Huyu ni transgender kwa maana ya kuwa ni mwanamume lakini ameamua kujiita mwanamke japo hajafanyiwa upasuiaji wa kuondoa nyeti zake!! Kwa hiyo wanaume wenzake wanamtumia kama mwanamke kwa hiyo ni shoga!!. Anavaa nguo za kike lakini akiwa na nyeti zake halisi!! Ndiyo maana wanawake wanamwogopa!!
Tunasubiri darasa, mwanaharakati hachokiiiiiii [emoji123][emoji123]Upo sahihi my Queen hujakosea maelezo yako,
Nikitulia nitaleta darasa la Gender kama uzi hautafutwa maana jf wamenikalia kooni hadi nakosa stimu za mahudhurio.