Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Amen baba!
Pia naomba usiombe sana nisije nikaacha kabisa....nataka kupunguza tu.....Aaaamen!

Utaona nguvu ya sala Roya Roy, sala haitolewi kwa vipimo... Utasahau hata definisheni ya infidelity... Mungu atakubariki mpaka umshangae
 


yani nimecheka kwa nguvu, hizi nyingine balaa...ngoja nikampikie baba kayai wangu!
 
kwangu mimi hiyo bolded part hiyo ndo inakuwaga tiketi ya kwenda kujichek na INFIDELITY the next day,na nikirudi jioni nalala kama gogo

Jesus this man is a nightmare teteteteh :A S 39:
 
Hivi nyie wanaume mpaka hapo ndio tuwaeleweje ?haya yote tungekuwa tunasema sisi mngekuwa mbongo hapa :argue::help::help:
 
Utaona nguvu ya sala Roya Roy, sala haitolewi kwa vipimo... Utasahau hata definisheni ya infidelity... Mungu atakubariki mpaka umshangae

Airisha hiyo sala kwanza....sikaki iishe kabisa...
 
eeee yesu na maria nisaidieni mume ntakayempata anipende peke yangu
 
Duh Teamo!

Incident1: Tulitoka kwenye Harusi maeneo ya Golden Tulip - Harusi ilikuwa ya "Kilokole" - soda kwa sana! Nilikuwa na maraffiki zangu watatu - wote tumeoa na bahati mbaya wake zetu hawakuweza kuwa nasi kwenye hiyo harusi - Tumefika "Corner Baa" yapata saa sita Usiku tukaamua kuingia "Ambiance" kupata mbili tatu halafu kila mtu aondoke - Uwezi kuamini mimi ndiyo nilikuwa wa kwanza kutoka nje - ilikuwa tayari ni saa moja kasorobo asubuhi! Well - ndoa yangu ilisimama (nilisema ukweli) lakini ilichukua kama miaka mitatu kila mara wifu ananiuliza swali lile lile "in different ways" - rafiki zangu ndoa zao zilidondoka - sina uhakika walisema nini - lakini ni siku ambayo mpaka kesho ipo akilini mwangu!

Incident 2: Nimechukua "dada eliza" maeneo fulani ya Dar es Salaam, mara tupo kwenye anga za starehe kwa sana - home nilidanganya kuwa naenda kwenye msiba wa co-worker and will be late - Kosa yule co-worker nilimtaja kwa jina! Ghafla bin Vuu yule co-worker anapitia maeneo ya nyumbani - wifu anakuwa mdadisi anaamua kutomuuliza yule jamaa habari za msiba - lakini katika mazungumzo jamaa anaonyesha wazi kuwa hakuna msiba: Jamaa ananipigia simu na kunieleza kuwa amepitia nyumbani! "eliza" nilimuacha "gesti" na kuchomoka kama mshale - nili-make another story altogether: Msiba na mfiwa ilibidi wabadilishwe!
 
Kuna jamaa alisahau kuoga kumbe siku hiyo alipitia kule kule kwa maji taka kufika home kwa wife wake ananukia maji taka dah ilikuwa balaaa tuliitwa mpaka majirani kusolve kibaya zaidi K-Y ilikuwa kwenye mfuko wa shirt jamaa aibu.

Hii kali!

Mkuu Masanilo simsikii siku hizi
 

ha ha ha ha ha Baba Enock umetoa ya kuvunjia mwaka
na hapo Corner Baa sitaki baba watoto aniambie yuko maeneo hayo wanaume mna hatari sana
 
ha ha ha ha ha Baba Enock umetoa ya kuvunjia mwaka
na hapo Corner Baa sitaki baba watoto aniambie yuko maeneo hayo wanaume mna hatari sana

Mojawapo ya sababu kubwa ambazo "wifu" alitoa ili tuhame Sinza ni kupunguza mahudhurio yangu hapo "corner baa": Lakini tatizo hata huku tulikohamia ne kabisa ya mji wa dar es Salaam tayari vi-corner baa vipo! Anywayz nimekua mtu mzima sasa
 
yaani nyie watu mna vituko, mmmmmmh acha tu. yaani hata sijui hizi ndoa kazi yake ni nini?

...hata mimi nimeshangazwa na kusikitishwa sana kwakweli. mnh!

si ndo huyo mbu sasa?.....
mbu ana kesi ya kujibu hapa

...sasa jamani kesi za nini ilhali sija comment kitu wala sijamkosea mtu?

achana na kina teamo,aspirin na panadol. wanakutisha tu. tupo kibao ambao tumetulia . mimi samtaimu waifu ananiita "gabriel" anasemaga niko vere inosenti.

...kwakweli kaka. Kwa tuliochangia leo inaonekana wasafi ni sie wawili tu hapa, Mbu na Klorokwini !

hongera mkuu kwa kujitunza vizuri

...nashukuru sana, Bwana mungu bado anatupigania mimi na Klorokwini.


...kwakweli bana, kinyume na hapo sifa zote nzuri tulizojijengea Ukweni zinafunikwa na hawa vicheche wasema urongo! Sipati picha maza hausi akisoma Topic hii ataniangaliaje leo, si ataniona ndio wale waleee!?

Hivi nyie wanaume mpaka hapo ndio tuwaeleweje ?haya yote tungekuwa tunasema sisi mngekuwa mbongo hapa :argue::help::help:

...'kithu' kinakata huku na huku. Hata hivyo haina haja ya kuwa Mbogo, hata mimi nilimsamehe mahabouba aliponidanganya "eti" alipitiwa na shetani!


...haha ha, siku ya leo nimecheka sana aisee. Duuh... Tarifa ya Msiba inapigwa ajua!!!???
 
Mi baada ya kurudi home jioni, si nikavua viatu ili nikanyage kapeti sebuleni, mara kasha used la c'ondom hilo, wageni ikabidi waanze kuaga mmoja mmoja.

Kumbe wakati nachana kondom, kasha lilidondokea kwenye kiatu.
 
mungu na atunusuru na janga la ukimwi!...na awape faraja wanawake wote walioletewa ngoma wakiwa ndoani na waume zao...AMEN!!!nimesoma kwa kusikitika nyie wakaka wa humu ndani kutembea nje ya ndoa sio SIFA!!!!:nono::nono::nono::A S angry:
 
Wadau, nimesoma hii thread na imenithibitishia kitu kimoja... Wanawake wako smart zaidi yetu when it comes to infidelity!!! Do you know why?? well, its because sisi ndio tumekua mbele kutoa siri zetu wakati wao as crime partners wamepiga kimya kabisa....

Hata wakifanya, they do it in a very advanced way na wakafuta nyayo zao kabla ya kutinga home... LETS EMULATE THEM, IF NOBODY KNOWS, IT NEVER HAPPENED
 
De novo umeishtukia hiyo......
Wanawake siku zote wanajifanya wako safi,

sisi tnaona sifa kujitangaza.wao wanafanya kimya kimya
tena zaidi yetu......
 
De novo umeishtukia hiyo......
Wanawake siku zote wanajifanya wako safi,

sisi tnaona sifa kujitangaza.wao wanafanya kimya kimya
tena zaidi yetu......

There you go boss...

we jaribu kutafakari, asilimia kubwa ya infidelity, inahusisha parties mbili ambazo mara nyingi zina commitments na wengine... lakini always sie tunakua exposed

WE ANGALIA ILE ISSUE YA DNA ILICYO SENSITIVE NA UONE MSIMAMO WA WATU MULE... kimyaaaaaa

Now, back to this topic, Teamo what were you thinking??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…