Nyamayao....Hizi risks/adventures zinaokoleza utamu wa ishu yenyewe...
....daaaah, nimecheka sana. Kuna watu wamedata hapa duniani...ha ha ha!
Asprin hiyo ya kujipeleka Lupango powa sana aisee, ha ha ha...usingizi hauna adabu hata kidogo. Roya Roy wajanja walivyokwapua Skuna na story ya shoe shiner umeniacha hoi kweli kweli...!
Uzuri ni kwamba haya mambo huwa hayapangwi wala hayarudiwi. We endelea kusubiri akudanganye alikuwa lupango.........
Wenzako wanaondoka na baibo home wanadanganya wanaenda church kumbe.......lol!
aaaah umenichekesha sana
Tunawaonea huruma ndo maana tunawadanganya...you are not supposed to know.....hivi hamtuonei huruma wenzenu jamani! sasa na wewe hicho kidada cha chuo c kukuchuna tu kwani kuna la ziada, hivi mnafikiriaga kuwa wanawapenda kweli....yaani mie nikilikuta naharibu jumla, nita pluc hiki na kile then naharibu kabisa....ole wake.
Unajua Mkuu ukiwa na mda wa kutosha unatunga riwaya nzuri sana....you leave hole!....daaaah, nimecheka sana. Kuna watu wamedata hapa duniani...ha ha ha!
Asprin hiyo ya kujipeleka Lupango powa sana aisee, ha ha ha...usingizi hauna adabu hata kidogo. Roya Roy wajanja walivyokwapua Skuna na story ya shoe shiner umeniacha hoi kweli kweli...!
Uzuri ni kwamba haya mambo huwa hayapangwi wala hayarudiwi. We endelea kusubiri akudanganye alikuwa lupango.........
Wenzako wanaondoka na baibo home wanadanganya wanaenda church kumbe.......lol!
Tunawaonea huruma ndo maana tunawadanganya...you are not supposed to know.....
Mkuu umepatia 100%....ni kwamba kila 'specific incident' ina 'specific solution'.....Rule # 1: DO NOT REPEAT EXCUSES!
Unajua Mkuu ukiwa na mda wa kutosha unatunga riwaya nzuri sana....you leave hole!
jamani ina umiza sana, hivi kwanini hawa watu wanatufanya wajinga hivi?.....kwanza mie kitendo cha kumtoa tu polic kwa sababu zake ziczo na kichwa wala miguu na kuniletea usumbufu usio na lazim mie laki yangu angeilipa..
Unajua kiongozi haya mambo huwa yanatokea tu. Ukishakuwa na maeksipiriensi ya kucheat wala hata huumizi kichwa!!....daaaah, nimecheka sana. Kuna watu wamedata hapa duniani...ha ha ha!
Asprin hiyo ya kujipeleka Lupango powa sana aisee, ha ha ha...usingizi hauna adabu hata kidogo. Roya Roy wajanja walivyokwapua Skuna na story ya shoe shiner umeniacha hoi kweli kweli...!
Dada yangu unaulizia meno mdomoni?
kazi ipo jamani, ndio wote mpo hivi?....i mean wote lazima mkiue nje?
[/COLOR]
yaani mie nimeckitika sana, mtu mzima unadanganywa hivi kweli...nikijua ckusamehi kirahic, cjui nitakupa adhabu gani.
inaumiza si kidogo, kwanza umepoteza usingizi wako kwa kuwaza mwenzio kapatwa na nn, asbh unaamkia police post na hela unatoa. kumbe unachekwa kiaina, wanaume hawa sijui wakoje.
...ha ha ha, kwakweli! Ila inabidi uwe hodari kweli wa kuukumbuka huo uongo, kina Bi-mkubwa wengine hawasahau bana. Anakuvizia siku ya siku anakupiga swali la ukumbusho, hujajibu sawasawa anakupiga na swali la nyongeza "mbona siku ile ulisema vile?...." ...mzee mzima unabakia kujiuma uma...
Unajua kiongozi haya mambo huwa yanatokea tu. Ukishakuwa na maeksipiriensi ya kucheat wala hata huumizi kichwa!!
Sikiliza hii tena:
Unafanya kazi za shifti. Ukiwa zamu ya usiku unachukua sicksheet unakamata EDs zako mbili. Night shifti unaipiga gesti na dasophy. Kumbe mtaani majambazi yamefanya vitu vyao. Polisi wanafanya msako nyumba za wageni. Wote waliokuwa gesti ambao si mke na mme wanapelekwa lupango. Kasheshe ni kuwa polisi mmoja wa kike ni rafiki yake na waifu wako..............Kama huna uzoefu hapo ndoa si ndio kwishnei? Sasa ulizia kazi iliyofanyika hapo............!
Sasa ulizia mchezo ulivyochezwa hapo........
...kisu hicho mamie, kinakata pande zote. Kuna wanawake waongo balaa...
Nawaogopa sana hawa kina mama wanaofanya kazi za shifti za usiku,...unaweza mpeleka mpaka getini kazini kwake, kumbe mwenzio yupo likizo.
Ukigeuza gari naye huyo anaita teksi...
Acha bana...mi aliniuliza kama nishamwona yule 'shoe shine', ilikua wiki iliyopita ana isshu yenyewe ina ka miezi mi3! Bahati nzuri niliikumbuka.
Acha bana...mi aliniuliza kama nishamwona yule 'shoe shine', ilikua wiki iliyopita ana isshu yenyewe ina ka miezi mi3! Bahati nzuri niliikumbuka.