Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

unajua kiongozi haya mambo huwa yanatokea tu. Ukishakuwa na maeksipiriensi ya kucheat wala hata huumizi kichwa!!
Sikiliza hii tena:

Unafanya kazi za shifti. Ukiwa zamu ya usiku unachukua sicksheet unakamata eds zako mbili. Night shifti unaipiga gesti na dasophy. Kumbe mtaani majambazi yamefanya vitu vyao. Polisi wanafanya msako nyumba za wageni. Wote waliokuwa gesti ambao si mke na mme wanapelekwa lupango. Kasheshe ni kuwa polisi mmoja wa kike ni rafiki yake na waifu wako..............kama huna uzoefu hapo ndoa si ndio kwishnei? Sasa ulizia kazi iliyofanyika hapo............!

Sasa ulizia mchezo ulivyochezwa hapo........


yesu rudiii....
 
Mkuu umepatia 100%....ni kwamba kila 'specific incident' ina 'specific solution'.....Rule # 1: DO NOT REPEAT EXCUSES!

...duuu, hili nalo somo! ha ha...

Acha bana...mi aliniuliza kama nishamwona yule 'shoe shine', ilikua wiki iliyopita ana isshu yenyewe ina ka miezi mi3! Bahati nzuri niliikumbuka.

...ha ha ha....pheeeeeeeeewww! halijaisha hilo, atakuuliza tena huyo....LOL!
 
Kuna jamaa alisahau kuoga kumbe siku hiyo alipitia kule kule kwa maji taka kufika home kwa wife wake ananukia maji taka dah ilikuwa balaaa tuliitwa mpaka majirani kusolve kibaya zaidi K-Y ilikuwa kwenye mfuko wa shirt jamaa aibu.
 
Mbu hebu na wewe toa uzoefu wako! nitanyanyua mikono juu na kusema bac tena, nasubiria,mana nakuonaga kama hunaga haya mambo, mhh kujifariji kwingine kubaya, unaweza kuta wife huko anaugulia vibaya.
 
Kuna jamaa alisahau kuoga kumbe siku hiyo alipitia kule kule kwa maji taka kufika home kwa wife wake ananukia maji taka dah ilikuwa balaaa tuliitwa mpaka majirani kusolve kibaya zaidi K-Y ilikuwa kwenye mfuko wa shirt jamaa aibu.

hivi hao hawara zenu cku hizi kazi yao ni kutoa hiyo huduma tu?...na wengi wenu ndio mnafuata hicho.
...hamna adabu hata punje.
 
Unajua kiongozi haya mambo huwa yanatokea tu. Ukishakuwa na maeksipiriensi ya kucheat wala hata huumizi kichwa!!
Sikiliza hii tena:

Unafanya kazi za shifti. Ukiwa zamu ya usiku unachukua sicksheet unakamata EDs zako mbili. Night shifti unaipiga gesti na dasophy. Kumbe mtaani majambazi yamefanya vitu vyao. Polisi wanafanya msako nyumba za wageni. Wote waliokuwa gesti ambao si mke na mme wanapelekwa lupango. Kasheshe ni kuwa polisi mmoja wa kike ni rafiki yake na waifu wako..............Kama huna uzoefu hapo ndoa si ndio kwishnei? Sasa ulizia kazi iliyofanyika hapo............!

Sasa ulizia mchezo ulivyochezwa hapo........

Lol, ha ha ha...hebu endelea hapo unajiteteaje kwa 'shemeji' ...!

Hahahahaha! mkuu nikiiweka hapa hadharani dada yangu nyamayao atanichukia sana. Anywaya, ntakusimulia kilichotokea. Subiri........
 
Mbu hebu na wewe toa uzoefu wako! nitanyanyua mikono juu na kusema bac tena, nasubiria,mana nakuonaga kama hunaga haya mambo, mhh kujifariji kwingine kubaya, unaweza kuta wife huko anaugulia vibaya.

...kweli kabisa mamie. Mie waaaaaaaaaaala! sijawahi hata kufikiria. Sina hata la kuhadithia humu!
 
Kuna jamaa alisahau kuoga kumbe siku hiyo alipitia kule kule kwa maji taka kufika home kwa wife wake ananukia maji taka dah ilikuwa balaaa tuliitwa mpaka majirani kusolve kibaya zaidi K-Y ilikuwa kwenye mfuko wa shirt jamaa aibu.

aaaaha ha haaaaa haaaaa! duuuuh, ebanaa eeeh
Fidel unanivunja mbavu hapa ha ha haa...
Jamaa anatembea na full evidence!
 
Hahahahaha! mkuu nikiiweka hapa hadharani dada yangu nyamayao atanichukia sana. Anywaya, ntakusimulia kilichotokea. Subiri........

sema tu kaka yangu mana kilishatendeka cna cha kuffanya, lakini natamani kujua kama mnakumbukaga kinga jamani, hata mfuko wa mkate mvae tu.
 
ha ha ha ha taratibu!! zionee huruma keyboard hizo!! INFIDELATORS na INFIDELEES at work!!

Kimey...mie nachukia kweli, mana mnatuua hivi hivi tunajiona, inauma sana, mie mwaka wa 6 sasa mie na mr, mr na mie, sasa ukute mr ndio Asprin au Roy......
 
  • Thanks
Reactions: RR
Duh hawa wanaume zetu ni issue sana ..X-pin rudia tena huyo anaeondoka na Bible ndo kanimaliza IQ yote
 
Basi mimi ndiyo ilikuwa nzito zaidi. Baada ku-infidel niliogea sabuni ya aina ya GIV wakati nyumbani natumia SUNLIGHT ile kuingia ndani tu naulizwa umeoga wapi? vuvuzela akadai nitoe maelezo ndani ya masaa 2 la sivyo hapakaliki
 
Basi mimi ndiyo ilikuwa nzito zaidi. Baada ku-infidel niliogea sabuni ya aina ya GIV wakati nyumbani natumia SUNLIGHT ile kuingia ndani tu naulizwa umeoga wapi? vuvuzela akadai nitoe maelezo ndani ya masaa 2 la sivyo hapakaliki

is it fair? sio my wife wako?
 
Kimey...mie nachukia kweli, mana mnatuua hivi hivi tunajiona, inauma sana, mie mwaka wa 6 sasa mie na mr, mr na mie, sasa ukute mr ndio Asprin au Roy......
pole sana dadangu.....kwa kweli kwa staili hii lazima uchukie ona huyu anamwita mwenzie Vuvuzela...Lol!!
Basi mimi ndiyo ilikuwa nzito zaidi. Baada ku-infidel niliogea sabuni ya aina ya GIV wakati nyumbani natumia SUNLIGHT ile kuingia ndani tu naulizwa umeoga wapi? vuvuzela akadai nitoe maelezo ndani ya masaa 2 la sivyo hapakaliki
:A S-eek::A S-eek: lol
 
Unajua kiongozi haya mambo huwa yanatokea tu. Ukishakuwa na maeksipiriensi ya kucheat wala hata huumizi kichwa!!
Sikiliza hii tena:

Unafanya kazi za shifti. Ukiwa zamu ya usiku unachukua sicksheet unakamata EDs zako mbili. Night shifti unaipiga gesti na dasophy. Kumbe mtaani majambazi yamefanya vitu vyao. Polisi wanafanya msako nyumba za wageni. Wote waliokuwa gesti ambao si mke na mme wanapelekwa lupango. Kasheshe ni kuwa polisi mmoja wa kike ni rafiki yake na waifu wako..............Kama huna uzoefu hapo ndoa si ndio kwishnei? Sasa ulizia kazi iliyofanyika hapo............!

Sasa ulizia mchezo ulivyochezwa hapo........

Lol, ha ha ha...hebu endelea hapo unajiteteaje kwa 'shemeji' ...!

sema tu kaka yangu mana kilishatendeka cna cha kuffanya, lakini natamani kujua kama mnakumbukaga kinga jamani, hata mfuko wa mkate mvae tu.

Ndani ya Karandinga mpaka Kilwa road police post. Mzee mzima ndani. Yule askari wa kike alikuwa anachonga vibaya. Anapiga simu ya wife, kwa msaada wa shetani ikawa haipatikani. Anatamba kuwa lazima mtu akomeshwe kwa kuwa wanaume tumezidi. Juhudi za kumbembeleza zikagonga mwamba. Mkanda ukavuliwa, viatu vikavuliwa mzee mzima lupango.......!

Yule askari wa kike alifanya kosa moja kubwa sana. Hakujua kuna askari mmoja wa kiume ni INFIDELATOR by proffession..... RULE No 3. Infidelators must assist each other... Nadhani mnajua kilitokea nini au nimalizie kabisa?
 
Duh hawa wanaume zetu ni issue sana ..X-pin rudia tena huyo anaeondoka na Bible ndo kanimaliza IQ yote


hebu imagine watu wanatumia mpaka bible kufanya maovu yao...cjui kwanini ckuwaga sister!
 
Back
Top Bottom