Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

jamani ina umiza sana, hivi kwanini hawa watu wanatufanya wajinga hivi?.....kwanza mie kitendo cha kumtoa tu polic kwa sababu zake ziczo na kichwa wala miguu na kuniletea usumbufu usio na lazim mie laki yangu angeilipa..
Wapendwa msijali,hapa si ndio mjini?Ngoja tuu,atailipa mara 3. Au nifanye nne kabisa.Mie kuku wangu nemtega mwenyewe,manati nazibadilisha kila siku.
 
Sasa dada hapo mbona sijakupa kisa cha kumkalisha waifu wangu na mwizi wake kwenye meza moja bila ya yeye kujua?

nilichokifanya hakiandikiki...............eeeh Mungu!! no more comments (am nt ok and u knw that)
 
hehehe!
niambie mamaa-la-bht!
IKO BIYEEEEEE?

tupe uzoefu ako hapa HATA WA VITABUNI

mnanisikitisha sana wapwaz...............aaah basi bana!!!
 
mnanisikitisha sana wapwaz...............aaah basi bana!!!
ayayayayaya!.....
unatuonea bure

labda keyboard zetu ndo zinakudisapoint
 
Kwani imekuwaje dada? Ndivyo wanaume tulivyo, huwezi kutubadilisha. Ndivyo tulivyoumbwa....

Laiti mngejua.....Anyway lakini jipeni moyo

nimeshajua kitambo ndio mana najinyamazia....
 
nilichokifanya hakiandikiki...............eeeh Mungu!! no more comments (am nt ok and u knw that)
hahahaha!
yaani haba bht watu hawawezi kusoma kabisa
 
mnanisikitisha sana wapwaz...............aaah basi bana!!!

ukiingia ndani, ukikosa kisa hiki utapata kile, ukikosa kile utapata hiki, kwa ujumla mjue wa leo sio wa kesho!
 
Wapendwa msijali,hapa si ndio mjini?Ngoja tuu,atailipa mara 3. Au nifanye nne kabisa.Mie kuku wangu nemtega mwenyewe,manati nazibadilisha kila siku.

akulipe kabisa, kabisa....wamezidi kutuchezea hawa bibadamu.
 
Sasa dada hapo mbona sijakupa kisa cha kumkalisha waifu wangu na mwizi wake kwenye meza moja bila ya yeye kujua?

hayo mambo ndio cyatakagi...oohh ma colleague, oohh cjui kitu gani, ctakagi coz ya mambo kama haya, unakaa na mwizi wako bila kujijua.
 



hahahahaha lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…