Sasa dada hapo mbona sijakupa kisa cha kumkalisha waifu wangu na mwizi wake kwenye meza moja bila ya yeye kujua?wacha tu nijinyamazie.....
Wapendwa msijali,hapa si ndio mjini?Ngoja tuu,atailipa mara 3. Au nifanye nne kabisa.Mie kuku wangu nemtega mwenyewe,manati nazibadilisha kila siku.jamani ina umiza sana, hivi kwanini hawa watu wanatufanya wajinga hivi?.....kwanza mie kitendo cha kumtoa tu polic kwa sababu zake ziczo na kichwa wala miguu na kuniletea usumbufu usio na lazim mie laki yangu angeilipa..
Sasa dada hapo mbona sijakupa kisa cha kumkalisha waifu wangu na mwizi wake kwenye meza moja bila ya yeye kujua?
hehehe!
niambie mamaa-la-bht!
IKO BIYEEEEEE?
tupe uzoefu ako hapa HATA WA VITABUNI
:brushteeth:Kumekucha!sema tu kaka yangu mana kilishatendeka cna cha kuffanya, lakini natamani kujua kama mnakumbukaga kinga jamani, hata mfuko wa mkate mvae tu.
Kwani imekuwaje dada? Ndivyo wanaume tulivyo, huwezi kutubadilisha. Ndivyo tulivyoumbwa....
Laiti mngejua.....Anyway lakini jipeni moyo
ngoja niendelee kuwa nilivyo
mnanisikitisha sana wapwaz...............aaah basi bana!!!
Wapendwa msijali,hapa si ndio mjini?Ngoja tuu,atailipa mara 3. Au nifanye nne kabisa.Mie kuku wangu nemtega mwenyewe,manati nazibadilisha kila siku.
Sasa dada hapo mbona sijakupa kisa cha kumkalisha waifu wangu na mwizi wake kwenye meza moja bila ya yeye kujua?
Ama kweli wanaume ahahaha! nimeshangaa sana jamani[/QUOTE
umeona shost, ndoa mtihani kumbe hutakiwi kumfatilia sana mwenzio utakufa kabla ya siku zako
Kumbe huu ndio uwongo wenu za mwishi 40 iko siku
labda tunachezeana
kuna formula moja naomba INFIDELATORS waijue....
''UKIONA KUNA NAMBA KUBWA YA INFIDELATORS UJUE INFIDELEES NI WENGI MARATATU ZAIDI...kwasababu infidelators wana opareti kwa MULTIPLE OF THREE!MEANING THAT INFIDELEES ARE EQUAL TO THREE TIMES THE INFIDELATORS....''
tuwapigie makofi infidelees tafadhali
hapana! utamu wa ndoa ni kuingia na kucheza dearest.