Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Teamo! Jamaa yangu wa karibu sana alirudi yuko bwiiii na boot imejaa mzigo.. Ile kesi mpaka leo hajaisha! Jamaa anadai labda alibakwa. Ila hana uhakika!
 
hapo ndoa haina hata mwaka, ikifikisha miaka kadhaa c ndio bac tena?
kisingizio cha kila siku hicho na kila mtu anahubiri hivyo.......
WALIANZA HATA MWEZI......mara miezi....
saiza HATA MWAKA......
mtiririko utaendelea baadae mtasema HATA KARNE.....!
ha ha ha ha ha ha ha!...
 
Hivi ni kweli yote yaliozungumzwa huku yanatokea? then nyie wanaume kwann mlioa? Asprin ni kweli una mke? achaeni tu niulize
 
Teamo! Jamaa yangu wa karibu sana alirudi yuko bwiiii na boot imejaa mzigo.. Ile kesi mpaka leo hajaisha! Jamaa anadai labda alibakwa. Ila hana uhakika!
ayayayayayayaya!
hili ni tukio la kihistoria....
mtu wa hivyo hatakaa aikumbuke infidelity....na atailaani KUFA
 
heheheh mimi ni mshauri nasaha bana! mara nyingi napigiwa simu usiku wa manane na kinadada ambao wamekata tamaa na maisha. nakuwa nawaliwaza mpaka wanaonaga samani ya maisha kwa sura mpya.

duu
 
dearest moyo wangu umechoka sana tena namaanisha!!

mhh na hivi mnasoma hivi vimbwanga humu ndio kabisa mnakata tamaa, wengine tuliingia ingia tu, tulikiingia bila kujua maana ya ndoa, lakini ni suala la kumtanguliza mungu wako akupe ambae kidogo vimbwanga vyake ni kwa" afya"...sio vya kulala jicho moja, na vya afya pia vinahitaji moto mgumu kdgo, mkiingia ndio mtajua jinc ya kupambana navyo.....hakuna ndoa tambarare acwadaganye mtu, leo ipo hivi kesho vile, ni kuyakabili na kusonga.
 
Hivi ni kweli yote yaliozungumzwa huku yanatokea? then nyie wanaume kwann mlioa? Asprin ni kweli una mke? achaeni tu niulize

ndio huyu akirudi nyumbani baba paroko, na wewe unajidai mume wangu hivi na vile, cjui hafanyi na mambo kibao, kumbe dk 10 ni nyingi sana kwa hawa viumbe, mie wangu cmkanii hata chembe, yote yawezekana....kama hawafanyi wanayashuhudia kwa watu wao wa karibu.
 
ayayayayayayaya!
hili ni tukio la kihistoria....
mtu wa hivyo hatakaa aikumbuke infidelity....na atailaani KUFA

Mkuu ni kweli kabisa.. Mimi mpaka hii leo siamini. na ni zaidi ya miaka 3
 

kweli vinawakatisha tamaa hawa mabinti, bora cc angalau tunapata experience fulani kwamba haya yapo. ningekua na uzoefu wa mambo wafanyayo wanaume katika ndoa zao mbona hata nisingeumizwaga niljiona naonewa kutendwa at that age!
 
mkuu mbu mbona huji na tukio lako.....!
maana lako kwa vyovyote litakuwa la ''ki-historia''

huenda likawa ni sababu kubwa ya wewe kupewa u-moderator wa hili jukwaa mama la MMU

...mimi nimeokoka jamani! Mnisamehe tu.
 
kweli vinawakatisha tamaa hawa mabinti, bora cc angalau tunapata experience fulani kwamba haya yapo. ningekua na uzoefu wa mambo wafanyayo wanaume katika ndoa zao mbona hata nisingeumizwaga niljiona naonewa kutendwa at that age!

nilisumbuka na ndoa mpaka nikakaribia kukata tamaa, nilipozinduka na kuipigania haaa sasa hivi walaa najionea yote kheri tu, hakuna wa kunitoa labda yeye ajichokee achape mwendo, nilijikomaza mdogo, ilikuwa nashindwa hata kulala vizuri nikifikiria yale maneno matamu niliyokuwa naambiwa enzi hizo yameishilia wapi, nikifikiria mr alivyo na kinyaa cha kuzaliwa lakini mbona anaweza kufanya na mwingine, nikifikiria na kufikiria bac nikaona yote yawezekana, alipoona cna nae tyme tena yeye ndio akaanza kuteseka juu yangu...jamani muingie tu! oteee ndao.
 

nimekusoma but mmh....lakini mweh siri ya kata kweli aijuae mtungi..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…