Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Thats why I wanted to here a personal story! Things of the like! Think of a happily married man in good terms with his wife! How could it be possible to just sleep with another woman and you come here with your story as if it is something normal! It seems like we legalizing this thing here!

Most of the "sweetest things" are illegal in one way or another!
 
Thats why I wanted to here a personal story! Things of the like! Think of a happily married man in good terms with his wife! How could it be possible to just sleep with another woman and you come here with your story as if it is something normal! It seems like we legalizing this thing here!

Mkuu naona unataka kuchafua ukumbi. Huu mjadala haukuwa juu ya uhalali au uharamu wa infidelity. Ulilenga kupata ushuhuda kutoka kwa wadau jinsi ambavyo waliweza kujichomoa kwenye hatari baada ya kuingia kwenye matendo hayo (iwe kwa makusudi au ajali ya kimazingira, siyo ya kisiasa lakini). Nimesoma karibia post zote na sijaona mtu aliyejaribu kusema kuwa infidelity ipewe ruksa. Hata hivyo wadau wengi wakiwemo akina dada/mama wamekiri kuwa hii issue ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku, ama inatuhusu sisi wenyewe au ndugu/wadau wetu wa karibu sana. Hakuna haja ya kuogopa kuongelea jambo ambalo tunalishuhudia kila siku. Kuna watu hapa wamechota uzoefu wa kutosha (Bht ni shahidi wangu) na wengine tumepata entertainment!
 
On behalf of my klozi frendi endi infidelator Teamo, I hereby proudly anaunsi zat zis sred is ofishiale klosdi!
 
On behalf of my klozi frendi endi infidelator Teamo, I hereby proudly anaunsi zat zis sred is ofishiale klosdi!

Sherehe za kufunga sredi hiizitafanyika pale oceanic view jumamosi jioni tafadhali msikose!:A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue:
 
Usinikumbushe siku niliyorudi home nimetinga andawea ya Elizaz! Pombe bana!

Ila nilivyojitetea kwa bi mkubwa ni Mungu anajua pekee..................

Hapo kwako utetezi wako sijui kama ulikubalika au alikubali yaishe. Maana utanieleza nini ili nikubali huo uongo wako wakati tayari kufuli linajieleza.
 
Hapo kwako utetezi wako sijui kama ulikubalika au alikubali yaishe. Maana utanieleza nini ili nikubali huo uongo wako wakati tayari kufuli linajieleza.
Hebu twende PM nikupe uzoefu kidogo!!
 
Sherehe za kufunga sredi hiizitafanyika pale oceanic view jumamosi jioni tafadhali msikose!:A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue:


The Following User Says Thank You to Masikini_Jeuri For This Useful Post:

Asprin (Today)​
 
Hii kitu imefunguliwa au imefungwa???:argue:
 
JS wajameni:

wiki nzima ukiingia JF unaanzia hapa!
====================================================
There are currently 13 users browsing this thread. (4 members and 9 guests)
 
Hii ni sawa tu ana makosa tena dhambi ya mauti. In case hata wewe (just an example, it can not happen with u ..) unachoropoka na mume wa mtu una case ya kujibu mbele ya pilato!


kaka mkubwa kwenye bracket nimekusoma lol!!! na Mungu anisaidie
 
We acha tu mama!

Hivi kama nimekumisi hivi, natakiwa nifanyeje?

dawa yake, get hold of me right away!!! lolote laweza kutokea na tusionane tena ukaishie kunimis tu......July hii ohoooooooooo shauri yako. mwenzio nafanya maandalizi ya mwisho tu hapa!!!
 
Back
Top Bottom