Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

dawa yake, get hold of me right away!!! lolote laweza kutokea na tusionane tena ukaishie kunimis tu......July hii ohoooooooooo shauri yako. mwenzio nafanya maandalizi ya mwisho tu hapa!!!
Lemme do the needful. Haiwezekani nikakukosa namna hii. Kuna mtu anatuloga labda!
 
caught_cheating.jpg

...Unamfumania mtu red handed tena kwenye kitanda chenu cha ndoa, au kwenye gari la mumewe akifanyia ngono halafu anajitetea kwa viapo vyote eti alishikwa kinguvu (alibakwa.) ...
 

...Unamfumania mtu red handed tena kwenye kitanda chenu cha ndoa, au kwenye gari la mumewe akifanyia ngono halafu anajitetea kwa viapo vyote eti alishikwa kinguvu (alibakwa.) ...

Rule No 7: Do not infidelitaizi at home!
 

...Unamfumania mtu red handed tena kwenye kitanda chenu cha ndoa, au kwenye gari la mumewe akifanyia ngono halafu anajitetea kwa viapo vyote eti alishikwa kinguvu (alibakwa.) ...

Nyie mnajua akina mama wana roho za huruma... labda aliona jamaa hana shelter, anaumwa njaa, ikabidi amsaidie kwa muda... then akauliza "is there anything else that your husbald does not use frequetnly....??"
 
Nyie mnajua akina mama wana roho za huruma... labda aliona jamaa hana shelter, anaumwa njaa, ikabidi amsaidie kwa muda... then akauliza "is there anything else that your husbald does not use frequetnly....??"
Hawa ndio watumishi wa Mungu wa karne ya 21.

Ahsante baba askofu!!:A S kiss:
 

...Unamfumania mtu red handed tena kwenye kitanda chenu cha ndoa, au kwenye gari la mumewe akifanyia ngono halafu anajitetea kwa viapo vyote eti alishikwa kinguvu (alibakwa.) ...

No unamfumani mtu red handed kwenye kitanda chenu cha ndoa na anaanza kwa kujitetea kuwa sivyo ilivyokuwa ama wewe unavyofikiria!..........Its not what you think dear let me explain!
 
Rule No 7: Do not infidelitaizi at home!

..Aspirin, je wewe ndio ukifumania halafu mywife wako anakujibu eti alikuwa anabakwa, utakubali utetezi huo?

Nyie mnajua akina mama wana roho za huruma... labda aliona jamaa hana shelter, anaumwa njaa, ikabidi amsaidie kwa muda... then akauliza "is there anything else that your husbald does not use frequetnly....??"

...Amen, Amen!
Yuk!, yataka moyo.
 
No unamfumani mtu red handed kwenye kitanda chenu cha ndoa na anaanza kwa kujitetea kuwa sivyo ilivyokuwa ama wewe unavyofikiria!..........Its not what you think dear let me explain!

...eti!? halafu unavyozidi kumuuliza aelezee vizuri anaanza kulia kwa sauti na kwi kwi nyingi almuradi tu ana buy time...
aaarrgghh!
 

...Unamfumania mtu red handed tena kwenye kitanda chenu cha ndoa, au kwenye gari la mumewe akifanyia ngono halafu anajitetea kwa viapo vyote eti alishikwa kinguvu (alibakwa.) ...

Hapa hakuna haja ya kujitetea .. hukumu ya pilato inafatia
 
Mnavyopendana na kuteteana katika maovu hizi thanx tu zinaonyesha mlivyo tayari kusaidiana kama mmoja akikosea

The Following 17 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Asprin (12th July 2010), Baba_Enock (12th July 2010), Bigirita (13th July 2010), De Novo (13th July 2010), Dreamliner (12th July 2010), Fidel80 (12th July 2010), Ikunda (13th July 2010), KakaJambazi (13th July 2010), Katavi (Yesterday), Kimey (Yesterday), Kiranja Mkuu (13th July 2010), Lubaluka (12th July 2010), Masikini_Jeuri (13th July 2010), Mbu (12th July 2010), Mzee Mwanakijiji (Yesterday), N-handsome (Today), Roya Roy (12th July 2010)​
 
Mnavyopendana na kuteteana katika maovu hizi thanx tu zinaonyesha mlivyo tayari kusaidiana kama mmoja akikosea

The Following 17 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Asprin (12th July 2010), Baba_Enock (12th July 2010), Bigirita (13th July 2010), De Novo (13th July 2010), Dreamliner (12th July 2010), Fidel80 (12th July 2010), Ikunda (13th July 2010), KakaJambazi (13th July 2010), Katavi (Yesterday), Kimey (Yesterday), Kiranja Mkuu (13th July 2010), Lubaluka (12th July 2010), Masikini_Jeuri (13th July 2010), Mbu (12th July 2010), Mzee Mwanakijiji (Yesterday), N-handsome (Today), Roya Roy (12th July 2010)​

Katika shida na raha....ni kama wavuta sigara tu!
 
Unajua Ukiishi na Mtu kwa muda mrefu sana, hata akiandika na ukafanikiwa kusoma maandishi yake unaweza mtambua ni nani! Watu wanafanya masihara hapa na Utani mwingi lakini yaweza kuleta Matatizo makubwa sana endapo wenza wenu huwaa wanakatika katika majukwaa kama haya! Shauri yenu
 
Katika shida na raha....ni kama wavuta sigara tu!

Marafiki wa kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kutakuwa na sherehe za kufunga Sredi hii Rasmi pale Oceanic view

Waalikwa ni Infidelees na Infidelators wote!

Confirmation fanyeni kwa Aspirin!:A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue:
 
Hivi hakuna Infidelee hata mmoja humu? Mbona hawachangii? Wananume tumejifunza nini katika Sredi hii?
 
Back
Top Bottom