Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran(huku ndio madudu yalikojaa). Mkitaka na vifungu nitaweka.
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran. Mkitaka na vifungu nitaweka.
Sawa ni uongo kwani umeshikiwa fimbo uyaamini
 
Kuna mahala nimekwambia nimelazimishwa kuamini?

Tunajaribu kuleta tafakuri kwa nyie "kondoo" wa bwana mpate mawili matatu.
Huwezi nipangia jinsi ya kuishi dini umezaliwa umezikuta na utakufa utaziacha hiko kitabu biblia kinamiaka almost 7000 na bado wako wanaokiamin

Kama huamin biblia live your life huwez fanya watu wasiamin biblia kwa hoja zako dhaifu na za kiinga
 
Mungu ametupa uhuru wa sisi kuamua tumfuate au tumuasi.

Hiyo haiondoi au haibadilishi ukuu/uungu wake.

Sisi ndio wenye maamuzi wenyewe, kutaka Mungu atuingilie maamuzi yetu kutaharibu dhana nzima ya 'free will' aliyotupa kwa upendo uliotukuka.
 
Huwezi nipangia jinsi ya kuishi dini umezaliwa umezikuta na utakufa utaziacha hiko kitabu biblia kinamiaka almost 7000 na bado wako wanaokiamin

Kama huamin biblia live your life huwez fanya watu wasiamin biblia kwa hoja zako dhaifu na za kiinga
Nimeona akili yako ilipo. As long as watu wengine wanaamini basi kwako haina shida. Kwa maana kwamba akili yako inategemea wengine wanafanya nini.

Kwa maelezo hayo ni ishara tosha kwamba huna akili na wala huna uwezo wa kujadiliana na mimi.

Naomba nikuachie hapo ewe kondoo wa bwana.
 
Swali lako la kwanza hata mimi huwa najiuliza sana...

Wakati mwingine nilikuja kufahamu kuwa Mungu alijua uasi wote wa shetani na wanadamu na aliruhusu utokee kwa makusud yake na sababu yake...
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran. Mkitaka na vifungu nitaweka.

Kwa hiyo hayo ndio matukio yanayoonyesha Uongo katika vitabu vya dini?

Unajua maana ya Uongo lakini?

Kitu kuwa na mkanganyiko hakukifanya kitu hicho kuwa Uongo.
Unachojaribu kuelezea hapo ni mkanganyiko uliokuwa katika Akili yako. Na wala hujaelezea uongo wa vitabu vya Dini.

Mungu kuwa mjuzi WA yote, alpha na omega hakumfanyi asiumbe nguvu Hasi na nguvu chanya.
Shetani ni nguvu Hasi tuu ambayo ameiumba Mungu.
Hivyo uwepo wa Shetani pia ni mpango wa Mungu.

Mungu ni Upendo ndio maana aliumba wema na ubaya.
Ili wanaopenda wema wafuate mambo Mema, wanaopenda mabaya wafuate mambo mabaya.

Unapojadili ishu ya Mungu tofauti na mawazo yako ya kitoto na kibinadamu.
Alafu unapaswa angalau uelewe Kwa uchache elimu ya ulimwengu huu hasa physics, biology, geography, mathematics, chemistry, Philosophy (hasa Theology) n.k.
Kama huna Uelewa na mambo hayo, Mungu hutamuelewa.

Umesema Kwa nini Adamu hakuambiwa habari za uwepo wa Shetani,
Kwani Shetani yupo wapi? Shetani ni roho(nguvu Hasi ambayo kiumbe mwenye utashi Kama binadamu au Majini wanayo ndani yake)
Hivyo usijefikiria kuwa Shetani alifika physical pale Edeni.

Ni Sawa uende kuiba, Ile nguvu inayokusukuma kuiba ndio huitwa Shetani yaani uasi/nguvu Hasi. Na kamwe huwezi muona Shetani
 
Kwa hiyo hayo ndio matukio yanayoonyesha Uongo katika vitabu vya dini?

Unajua maana ya Uongo lakini?

Kitu kuwa na mkanganyiko hakukifanya kitu hicho kuwa Uongo.
Unachojaribu kuelezea hapo ni mkanganyiko uliokuwa katika Akili yako. Na wala hujaelezea uongo wa vitabu vya Dini.

Mungu kuwa mjuzi WA yote, alpha na omega hakumfanyi asiumbe nguvu Hasi na nguvu chanya.
Shetani ni nguvu Hasi tuu ambayo ameiumba Mungu.
Hivyo uwepo wa Shetani pia ni mpango wa Mungu.

Mungu ni Upendo ndio maana aliumba wema na ubaya.
Ili wanaopenda wema wafuate mambo Mema, wanaopenda mabaya wafuate mambo mabaya.

Unapojadili ishu ya Mungu tofauti na mawazo yako ya kitoto na kibinadamu.
Alafu unapaswa angalau uelewe Kwa uchache elimu ya ulimwengu huu hasa physics, biology, geography, mathematics, chemistry, Philosophy (hasa Theology) n.k.
Kama huna Uelewa na mambo hayo, Mungu hutamuelewa.

Umesema Kwa nini Adamu hakuambiwa habari za uwepo wa Shetani,
Kwani Shetani yupo wapi? Shetani ni roho(nguvu Hasi ambayo kiumbe mwenye utashi Kama binadamu au Majini wanayo ndani yake)
Hivyo usijefikiria kuwa Shetani alifika physical pale Edeni.

Ni Sawa uende kuiba, Ile nguvu inayokusukuma kuiba ndio huitwa Shetani yaani uasi/nguvu Hasi. Na kamwe huwezi muona Shetani
Rudi shule uongeze ufahamu ndio uje kujadili haya mambo. Kwa haya uliyoyaandika hapa bado akili yako ina vitu vichache sana vya maana ambavyo unaweza kutoa kwa jamii.
 
Rudi shule uongeze ufahamu ndio uje kujadili haya mambo. Kwa haya uliyoyaandika hapa bado akili yako ina vitu vichache sana vya maana ambavyo unaweza kutoa kwa jamii.

Unajua maana ya Uongo ndio nimekuuliza?

Maana kwenye mada yako unaelezea Mkanganyiko ulioupata uliokuwa kwenye Biblia badala ya kuonyesha Uongo.

Ukijadili vitu unatakiwa uvielewe vizuri
 
Unajua maana ya Uongo ndio nimekuuliza?

Maana kwenye mada yako unaelezea Mkanganyiko ulioupata uliokuwa kwenye Biblia badala ya kuonyesha Uongo.

Ukijadili vitu unatakiwa uvielewe vizuri
Kwa kukusaidia, angalau kupanua akili yako.

Sijui kama uliwahi kwenda shule ya juu, ungesoma somo la mantiki/logic.

Kwenye mantiki ama logic and reasoning jambo lile lile leo useme yes, kesho useme noo basi jibu ni no.

Hata kwenye hesabu, tulisoma true, true jibu ni true, true false jibu ni false.

Ikishatokea contradiction basi hapo hakuna ukweli, ni uongo. Kitu kilichonyooka hakina contradiction.

Ndio maana nikakushauri, rudi shule uongeze ufahamu zaidi ndio uje kujadili haya mambo boss.
 
Back
Top Bottom