Pre GE2025 Matukio yanayoongoza wakati huu ni utekaji, mauaji, teuzi, maandamano na kesi. Je, nini kinafuata?

Pre GE2025 Matukio yanayoongoza wakati huu ni utekaji, mauaji, teuzi, maandamano na kesi. Je, nini kinafuata?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Pattern za Kisiasa Mwaka huu kuelekea uchaguzi zimekaa kiajabu sana. Katika intelejensia patterns hizo zinaweza kuonyesha lengo au matokeo yanaweza kuwa kitu gàni. Kwa siasa za Miaka ya hivi karibuni yàani miaka kumi hii patterns hizo zinafanana kwa kiasi fulani.

Ukiangalia miaka mitano iliyopita kuanzia Miaka ya 2015-2020 na Miaka ya 2021 Mpaka Sasa 2024 kuelekea 2025 patterns zinafanana kwa kiwango kikubwa.

Pia soma
~
Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
~ Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
~
Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

Utekaji, Mauaji, Utenguzi na uteuzi wa mara kwa Mara, maandamano, kuanza kufunguliwa makesi ya hapa na pale. Patterns ni zilezile.

Hii inatoa pîcha gàni?
Hii inamaanisha Jambo gàni?
Hii kwa watabiri wanaweza kueleza kitu gàni?
Je, hali hii inatokea kwa nasibu tuu au mratibu wa jambo hili ni mmoja (yuleyule)?

Nawaachia maiki.
 
Ukitaka kujua kinachofuata, angalia kinachofanyika.
Kuna Tanzania na zanzibar ila hakuna Tanganyika,
Viongozi wanasifiwa kutuwashia taa, waliopuliza upepo ikazimika,
Ila wanasema tutafika
 
Sahvi ni mwendo wa raia kutekana,kufanyiana umafia
Watu wanapita na upepo ule ule

Ova
 
Kwema Wakuu!

Pattern za Kisiasa Mwaka huu kuelekea uchaguzi zimekaa kiajabu sana. Katika intelejensia patterns hizo zinaweza kuonyesha lengo au matokeo yanaweza kuwa kitu gàni. Kwa siasa za Miaka ya hivi karibuni yàani miaka kumi hii patterns hizo zinafanana kwa kiasi fulani.

Ukiangalia miaka mitano iliyopita kuanzia Miaka ya 2015-2020 na Miaka ya 2021 Mpaka Sasa 2024 kuelekea 2025 patterns zinafanana kwa kiwango kikubwa.

Utekaji, Mauaji, Utenguzi na uteuzi wa mara kwa Mara, maandamano, kuanza kufunguliwa makesi ya hapa na pale. Patterns ni zilezile.

Hii inatoa pîcha gàni?
Hii inamaanisha Jambo gàni?
Hii kwa watabiri wanaweza kueleza kitu gàni?
Je, hali hii inatokea kwa nasibu tuu au mratibu wa jambo hili ni mmoja (yuleyule)?

Nawaachia maiki.
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 2024 na Uchaguzi mkuu October 2025 matukio yooote yaliyotea 2019 na 2020 yatajirudia tena kwa kiwango kikubwa zaidi safari hii.
 
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 2024 na Uchaguzi mkuu October 2025 matukio yooote yaliyotea 2019 na 2020 yatajirudia tena kwa kiwango kikubwa zaidi safari hii.

Hivi imebaki Muda gàni uchaguzi wa serikali za mitaa kufanyika?
 
Kwema Wakuu!

Pattern za Kisiasa Mwaka huu kuelekea uchaguzi zimekaa kiajabu sana. Katika intelejensia patterns hizo zinaweza kuonyesha lengo au matokeo yanaweza kuwa kitu gàni. Kwa siasa za Miaka ya hivi karibuni yàani miaka kumi hii patterns hizo zinafanana kwa kiasi fulani.

Ukiangalia miaka mitano iliyopita kuanzia Miaka ya 2015-2020 na Miaka ya 2021 Mpaka Sasa 2024 kuelekea 2025 patterns zinafanana kwa kiwango kikubwa.

Pia soma
~
Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
~ Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
~
Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

Utekaji, Mauaji, Utenguzi na uteuzi wa mara kwa Mara, maandamano, kuanza kufunguliwa makesi ya hapa na pale. Patterns ni zilezile.

Hii inatoa pîcha gàni?
Hii inamaanisha Jambo gàni?
Hii kwa watabiri wanaweza kueleza kitu gàni?
Je, hali hii inatokea kwa nasibu tuu au mratibu wa jambo hili ni mmoja (yuleyule)?

Nawaachia maiki.
Ni pattern hizohizo tu 2026 labda kutakua na pattern spot ileile ya Bendera nusu mlingoti baada ya kuandaa taarifa halafu CDF ataingilia kati kwamba Muha aendelee sasa itategemea na yeye akileta yaleyale mambo yake ya Kigoma kama yalivyokuwa yale ya Mwanza na baadae yakaja yale ya Zanzibar basi pattern itaendelea ... nimawazo mtazamo lakini msipange kuniteka bure mi sijui chochote nimehisi tu
 
Ni pattern hizohizo tu 2026 labda kutakua na pattern spot ileile ya Bendera nusu mlingoti baada ya kuandaa taarifa halafu CDF ataingilia kati kwamba Muha aendelee sasa itategemea na yeye akileta yaleyale mambo yake ya Kigoma kama yalivyokuwa yale ya Mwanza na baadae yakaja yale ya Zanzibar basi pattern itaendelea ... nimawazo mtazamo lakini msipange kuniteka bure mi sijui chochote nimehisi tu
Na mwendaji zake ataondoka kwa mateso sana
 
Yaani Siasa za Tanzania ukiziendekeza Lazima utakuwa maskini

Hebu fikiria wakati tunajadili Maandamano ya Chadema na tija yake tayari Tundu Lisu naye keshalianzisha na TIGO

Mbunge wa Morogoro mh Babu Tale na Kijana wake Diamond nao wamekuja na yao kwamba Walipotaka kuingia Chumbani Kwa Pdidy Mwenyeji Wao aliwashtua hivyo wakatoka salama japo walimkasirikia mwenyeji Wao

John Mnyika naye akimaliza Novena ya Siku 9 anaanza Maombi ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni ya Siku 30 hivyo wanaomsubiri waendelee na shift

Ngachoka kabisa 🐼🤣
 
Back
Top Bottom