Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AahaaaaKumpania demu halafu uume ugome kusimama tena baada ya kujisifu kuwa wewe ni kiboko😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaKumpania demu halafu uume ugome kusimama tena baada ya kujisifu kuwa wewe ni kiboko😂😂😂
Binafsi nawaonaga kama kuna Nati imelegea kichwani, samahani kwa hilo.Aahaaaaa
Namkubali sana yule pasta
Hahahahah nyie! 😂
Hii ilishakuKuta mkuu? Kuna rafiki yangu alipataga kazi za ukarani wa sensa akanifungia vioo akidhani nitakuwa namtagi. Aisee 🤣🤣Kupata ajira mpya
Mkuu umeandika Kwa uchungu na hisia Kali sanaKufiwa kusikie tu mzee, narudia tena KUFIWA KUSIKIE KWA WENZAKO.
Pengine labda ujikute umeshajitaguta umejipata halafu ufiwe sawa, ila ikukute ukiwa bado unajitafuta tuseme unawategemea wazazi aiseee utajua hujui.
Yaani upweke ni balaa
Inaingia kwenye kubadili imanj ya dini, yaani kutoka moderate kuwa extremistKumpokea Yesu awe Bwana Na Mwokozi wa maisha yako
Kupata ajira mpya ni kuanza maisha mapyaHii ilishakuKuta mkuu? Kuna rafiki yangu alipataga kazi za ukarani wa sensa akanifungia vioo akidhani nitakuwa namtagi. Aisee 🤣🤣
Ni sawa lakiniKupata ajira mpya ni kuanza maisha mapya
Na nduyo matokeo ya kila jambo au baya lilimfikalo muhusikaHiyo namba nne ni matokea ya yote uliyaorodhesha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pombe! juzi nilitandika whisky si nikawabadirikia mabaunsa wa bar nikajiona mimi ndo ninja!! kuna watu wanajua kupiga mabanzi nyie hapo nikala na mtama mmoja tu kazi ikaisha! niliwaachia shati nikaenda zangu kulala huku nikishukuru baunsa mmoja alinibeba akanirusha nami sikuichezea nafasi nikatua kininja nikaunga mbio lkn masikioni nikiwa nasikia wiuwiuwiuwiu!..
SILOAM ile ni dhehebu hatari, kuna mwalimu aliacha had ualimu na kuzamia huko, yaan kawaje sijuii.Labda nitoe mfano mmoja! Ndugu yangu mmoja katika ukoo alijiunga na dhehebu la THE POOL OF SILOAM. Kilichofuatia ni misimamo na matendo yake kuwa tofauti kabisa na ilivyokuwa awali.
Kwanza, uvaaji wake ulibadilika, akawa anavaa nguo nyeupe. Sikumbuki kama ilikuwa ni kila siku au ilikuwa siku ya ibada tu.
Pili, alibadilosha majina mpaka ya ubin wake. Jina lake jipya la ukoo likawa Eliya. Inasemekana utaratibu wa hilo dhehebu liliwataka washirika wake majina yao yaishie na Eliya.
Hayo ni machache ninayoyakumbuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumpania demu halafu uume ugome kusimama tena baada ya kujisifu kuwa wewe ni kiboko[emoji23][emoji23][emoji23]
AahaaaaBinafsi nawaonaga kama kuna Nati imelegea kichwani, samahani kwa hilo.
Duh Bwana Yesu turehemuhilo dhehebu lilimfanya mtoto wa dingi mkubwa akafa akiwa kapuku wakat kabla hajajiunga nao alikuwa mfanyabiashara mzuri tu, nyumba kadhaa njiro arusha. hotel ya nyota tatu sakina, mgodi mirerani na mundarara, ila vyote kanisa likajimilikisha chni ya mchungaj, mtoto wake wa kiume ambaye alikuwa anapambana na mchungaji juu ya mali za mama yake alikufa kifo cha utatanishi sana,
KabisaNa nduyo matokeo ya kila jambo au baya lilimfikalo muhusika