Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

pharao

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
397
Reaction score
690
Tukio la kwanza ni mzee mzima Ontario kuja kwa Mbwembwe na baadae kujikuta akiishia kwenye shimo la Tewa baada ya KUPEWA ZA USO NA MEMBERS!

Tukio la pili ni Bwana mkubwa Bujibuji kuja na ID ya Kike aloipachika jina la "Gilesii"[emoji1787]. Haikuchukua Muda, Members Wakagutuka! Alichokipata siri yake.

Tukio la tatu ni Mzamiaji Parabora. Yeye alikuja JF kwa mikogo kabisa akidai kwamba anaishi Geneva Uswisi. WanaJF wakamtoa mafichoni, na kubainika kuwa jamaa ni Mgongaulimbo tu yupo humuhumu.

HEBU ONGEZA TUKIO LOLOTE AMBALO HUTAKUJA LISAHAU KUTOKA JF. Iwe kuchekesha au Serious Threads (Ukiweka na link ya tukio ni safi)
 
Mimi msomaji
tenor%20(1).gif


ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Yule bwana aliyetuchota ametoka kigoma kwa train na buku 2 mfukobu hana pa kufikia.
Alitukesesha siku zote za safari yake.
Sasa hivi naona karudi kwenye uhalisia wake.

aise

mama wawili
Hahahaa kila siku alikuwa mpigaji yule

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Ila Parabora jamani alikuwa akiulizwa anajibu "mkuu Google usipende kutafuniwa nimeshakupa hint" jibu pekee alilotoa ni kuwa Tanzania na Swiss tunatofautiana masaa mawili.

[emoji1][emoji1] Basi mimi nikajuwa watu wa Ulaya hasa nchi ya kitajiri Uswiss wako busy sana.

Kuna siku aliweka kashuhudiia watu wakicheza uchi night club Geneva. Kuna member akasema ni muongo lockdown imeanza wakabishana bishana.
Ikaisha hivo

mama wawili
 
Ila Parabora jamani alikuwa akiulizwa anajibu "mkuu Google usipende kutafuniwa nimeshakupa hint" jibu pekee alilotoa ni kuwa Tz na Swiss tunatofautiana masaa mawili...
Nilimuwekea tarehe ambayo Uswizi ilianza lockdown, nikamuambia, wewe club umeendaje wakati Uswizi ipo katika lockdown na hii ni habari imetangazwa dunia nzima?

Alishindwa kunijibu akabaki anajiumauma tu.

Tangu hapo nikamuona mtu wa mazabe mazabe tu, ila sikuwa na muda mchafu wa kufanya forensic investigation.

Naona wadau wamenunua kesi wakachukua mpaka fingerprint, bado kidogo wapate ushahidi wa DNA!
 
Nilimuwekea tarehe ambayo Uswizi ilianza lockdown, nikamuambia, wewe club umeendaje wakati Uswizi ipo katika lockdown na hii ni habari imetangazwa dunia nzima?

Alishindwa kunijibu akabaki anajiumauma tu...
[emoji1][emoji1] Sasa naelewa kwa nini nilikumbuka hiyo post.
Baada ya hapo akapotea akakaa kimya akaibuka juzi juzi na thread za Uswiss kibao akidai yuko lock down anakula totoz za kiswiss mpaka anamkumbuka mpenzi wake kutoka kwa Mswati ayeishi France.

Koment yako ilimnyamazisha kwa muda akarudi na gia yuko lock down.


Kudos mkuu.

mama wawili
 
Back
Top Bottom