Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi landa wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi landa wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii inatukumbusha kuwa tunatakiwa tuwe na mtiririko wa kueleweka wa maisha, yaani kama unataka kuishi maisha yako halisi, kuwa hivyo na usijaribu kuingiza mambo mengine yanayoweza kusababisha matatizo.
 
Alikuja pm bwana. Yani nilimjibu salamu ila nikahisi kuna kitu hakipo sawa. Akaandika tena nikasema heeeeeh kumekucha.

Kuja kusoma nyuzi zake vizuri naona mashkolo.

Kaamua kufake sema kakosea pa kufake.

Lakini Giree atabaki kuwa juu
Ila Parabora jamani alikuwa akiulizwa anajibu "mkuu Google usipende kutafuniwa nimeshakupa hint" jibu pekee alilotoa ni kuwa Tz na Swiss tunatofautiana masaa mawili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka aiseee. Akajiuma uma tu. Njia ya mwongo huwa ni fupi sana
Nilimuwekea tarehe ambayo Uswizi ilianza lockdown, nikamuambia, wewe club umeendaje wakati Uswizi ipo katika lockdown na hii ni habari imetangazwa dunia nzima?

Alishindwa kunijibu akabaki anajiumauma tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mamaaa unasahau ya kwako hadi ukafutiwa uzi.
Ule ungekaa kidogo hata siku ungevunja rekodi si mchezo.

mama wawili
Hahahaha rafiki tuchatiiiiiiiiiiii
[emoji2090][emoji2090][emoji2090],

Tho, nilitegemea nilikua nishaandaa popcorn na pepsi,

Lol.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Back
Top Bottom