sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Wote hao wanaamini mizimu.Kiranga vs mshana jr.
Itakumbukwa daima, aligalagazwa mtu humo ndani balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hao wanaamini mizimu.Kiranga vs mshana jr.
Itakumbukwa daima, aligalagazwa mtu humo ndani balaa.
Hivi nifah yupo wapi siku hizi??Nyuzi za The Bold zilivyokuwa zinakamata watu, jamaa alikuwa na upepo akapata na demu huku Nifah
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ya giLEsi ndio iliniacha hoi kati ya zote.
Kwa faida ya ambao hawakuwepo, Bujibuji alikuwa na ID yenye jina la giLesi (ilikuwa mwaka 2014) akaja na mada kuwa;
Ana makalio laini na makubwa pia yanacheza sana. Amejaribu kuyabana kwa kuvaa taiti mbili lakini bado yanacheza. Hali hiyo imepelekea vijana kumpigia mluzi kila anapopita.
Bahati mbaya mods wakafanya yao, mwandishi wa mada akasomeka ni Bujibuji. Kuna member wa MMU alipoona mchezo akakimbilia Jukwaa la habari na Hoja Mchanganyiko, akaandika;
Imethibitika: Bujibuji ni mwanamke (akaweka na link ya uzi wa makalio makubwa) Watu wakabaki midomo wazi!
NB: nyuzi zote zilishafutwa.
Wazee wa picha za ku download...Lamomy vs 100 others etc wamesababisha Uzi wetu pendwa wa Selfika kutiwa ban
😁😁😁 Wameamia Uzi mwingine wafuate huko mkuu, mkishindwana muandae pambano mzichape Jf itakuwa sponsor.Wazee wa picha za ku download...
Fake couple..
Mtu mooja ID mbili..
We mwenyewe si uliona, nimempiga KO... kapoteana.. ngoja leo nimgonge ya mwisho nipotee na jf.😁😁😁 Wameamia Uzi mwingine wafuate huko mkuu, mkishindwana muandae pambano mzichape Jf itakuwa sponsor.