Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Dah!!
Upo? Long time saana....!!!
we ndio umepotea aisee ulienda wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!!
Upo? Long time saana....!!!
[emoji2296] Aisee za miaka? ShikamooNa mimi nakuthalimia...
Thikamoooo!!!
Hatari sana mkuu, ukiwa na Id mbili au zaidi unatakiwa kuwa makini na mstaarabu. Ukichafua hali ya hewa au ukijaribu kucheza na watu mods wanaziunga id chap unabaki unafurahi na roho yako.
Daah siku ya leo nilikua sijacheka kabisa. Baada ya kusoma comment yako hakika nimeongeza siku za kuishi😂😂😂Nakumbuka mdada Kinondoni Sweetheart alikuwa antuhabarisha visa vya Captain Sindbad (Baharia) visa vimepangika matukio kama yote, .ashauzi kibao hali iliyopelekea hadi nikazama PM na kujibiwa na vi msg vilivyojaa mashauzi ya kike[emoji38][emoji38]Siku Mods walipofanya yao [emoji38][emoji38] nashangaa muanzisha akageuza jina na kuwa Kanungila Karim aisee nilitema mate chini [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Jf kuna mengiTukio la kwanza ni mzee mzima Ontario kuja kwa Mbwembwe na baadae kujikuta akiishia kwenye shimo la Tewa baada ya KUPEWA ZA USO NA MEMBERS!
Tukio la pili ni Bwana mkubwa Bujibuji kuja na ID ya Kike aloipachika jina la "Gilesii"[emoji1787]. Haikuchukua Muda, Members Wakagutuka! Alichokipata siri yake.
Tukio la tatu ni Mzamiaji Parabora. Yeye alikuja JF kwa mikogo kabisa akidai kwamba anaishi Geneva Uswisi. WanaJF wakamtoa mafichoni, na kubainika kuwa jamaa ni Mgongaulimbo tu yupo humuhumu.
HEBU ONGEZA TUKIO LOLOTE AMBALO HUTAKUJA LISAHAU KUTOKA JF. Iwe kuchekesha au Serious Threads (Ukiweka na link ya tukio ni safi)
🤣🤣🤣 Sitaki kuamini ulijiita gilesi..🤣🤣Kaka Tuchati
Hii ilinipita mkuu ni kweli Kama alivyo sema mleta madaKaka Tuchati
Hahaaaa..Gilesiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli mkuuHii ilinipita mkuu ni kweli Kama alivyo sema mleta mada
Jf ina vituko hii[emoji1787]Hahaaaa..
Nouma sana mkuu.. unaweza ukasema umepata manzi kumbe man mwezakoJf ina vituko hii[emoji1787]
Pole sana mkuu hii siju uzi ulitembea sana huuHii ilinipita mkuu ni kweli Kama alivyo sema mleta mada
Si mbaya sana kwa vile nimebahatika kuupataPole sana mkuu hii siju uzi ulitembea sana huu