Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwepo mate
😂😂😂😂
Aisee, haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mate nitakuambia siku nyingine
😂😂😂Humble African Vs CCNP Eng.
Jamaa hadi kabadirisha ID from CCNP ENGINEER to Mama Deborah.
Before alikuwa anajiita Padre Mcharo.
AiseeMimi ya giLEsi ndio iliniacha hoi kati ya zote.
Kwa faida ya ambao hawakuwepo, Bujibuji alikuwa na ID yenye jina la giLesi (ilikuwa mwaka 2014) akaja na mada kuwa;
Ana makalio laini na makubwa pia yanacheza sana. Amejaribu kuyabana kwa kuvaa taiti mbili lakini bado yanacheza. Hali hiyo imepelekea vijana kumpigia mluzi kila anapopita.
Bahati mbaya mods wakafanya yao, mwandishi wa mada akasomeka ni Bujibuji. Kuna member wa MMU alipoona mchezo akakimbilia Jukwaa la habari na Hoja Mchanganyiko, akaandika;
Imethibitika: Bujibuji ni mwanamke (akaweka na link ya uzi wa makalio makubwa) Watu wakabaki midomo wazi!
NB: nyuzi zote zilishafutwa.
mama debo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humble African Vs CCNP Eng.
Jamaa hadi kabadirisha ID from CCNP ENGINEER to Mama Deborah.
Before alikuwa anajiita Padre Mcharo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ya giLEsi ndio iliniacha hoi kati ya zote.
Kwa faida ya ambao hawakuwepo, Bujibuji alikuwa na ID yenye jina la giLesi (ilikuwa mwaka 2014) akaja na mada kuwa;
Ana makalio laini na makubwa pia yanacheza sana. Amejaribu kuyabana kwa kuvaa taiti mbili lakini bado yanacheza. Hali hiyo imepelekea vijana kumpigia mluzi kila anapopita.
Bahati mbaya mods wakafanya yao, mwandishi wa mada akasomeka ni Bujibuji. Kuna member wa MMU alipoona mchezo akakimbilia Jukwaa la habari na Hoja Mchanganyiko, akaandika;
Imethibitika: Bujibuji ni mwanamke (akaweka na link ya uzi wa makalio makubwa) Watu wakabaki midomo wazi!
NB: nyuzi zote zilishafutwa.
Ngoja akukute[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mama debo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkulima wa mahindi
Huyu Humble African alimvuruga mtu , matokeo yake mtu huyo amehamishia mashambulizi kwa wadada..anatuvuruga kweli na ID yake ya kike[emoji23][emoji23][emoji23]
Sina wasiwasi wewe si upoNgoja akukute[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Demiss
Jamaaa napanga kuonana naye next month CORONA IKIPUNGUA... KIPIND HICHO NATUMIA ID YA @willo12 BWANA aise NAYE HAKUNISOMA KABISA . PM ZILIKUWA NYINGI SANA...KISA PICHA YA KISHUNDUYule bwana aliyetuchota ametoka kigoma kwa train na buku 2 mfukoni hana pa kufikia.
Alitukesesha siku zote za safari yake.
Sasa hivi naona karudi kwenye uhalisia wake.
aise
mama wawili
Kumbe na ww mdaku 😂Huyu Humble African alimvuruga mtu , matokeo yake mtu huyo amehamishia mashambulizi kwa wadada..anatuvuruga kweli na ID yake ya kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi simuwezi yule [emoji23][emoji23]Sina wasiwasi wewe si upo
Mkulima wa mahindi
Muone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe na ww mdaku [emoji23]