Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamkumbuka yule Gire aliyetusababishia ban wambea wote wa jf wewe ulipona?
[emoji23][emoji23][emoji23] yuko kama mbogo mzee alietengwa na kundi, hadi kivuli chake anaweza kipiga pembeJesus! ndo yule mwenyewe hasira vile?!
You deserve a gift...
Kuna bifu za wadada Kugombeaa wanaume
nakumbuka kuna Siku zilitupiwa picha humu
jamaa alikusanya picha za wadada tofauti tofauti akawa anatupia,
wadada na makundi yao nayo wanachambana,
watu matumbo joto...Poleni sana wenzangu mlioliwa kimasihara...
msiogope kushare.
duuuu hatar mkuuNdiyo.... Ni kweli..... Makalio yalitingishika Hadi yaka produce umeme kiwango Cha grid ya taifa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ya gilesi ilijua nikeshesha jf
Wewe si unakula na wakubwa?
Kuna sehemu mkiwa mnachati unaona mnachati mtu tatu.moja inakuwa fekero😂 😂
PM zingekuwa zinasema tungekimbiana humu aiseee.
Where is Kinondoni Sweetheart?Tukio la kwanza ni mzee mzima Ontario kuja kwa Mbwembwe na baadae kujikuta akiishia kwenye shimo la Tewa baada ya KUPEWA ZA USO NA MEMBERS!
Tukio la pili ni Bwana mkubwa Bujibuji kuja na ID ya Kike aloipachika jina la "Gilesii"[emoji1787]. Haikuchukua Muda, Members Wakagutuka! Alichokipata siri yake.
Tukio la tatu ni Mzamiaji Parabora. Yeye alikuja JF kwa mikogo kabisa akidai kwamba anaishi Geneva Uswisi. WanaJF wakamtoa mafichoni, na kubainika kuwa jamaa ni Mgongaulimbo tu yupo humuhumu.
HEBU ONGEZA TUKIO LOLOTE AMBALO HUTAKUJA LISAHAU KUTOKA JF. Iwe kuchekesha au Serious Threads (Ukiweka na link ya tukio ni safi)
Sijakuona long time msukuma... MambozNilimuwekea tarehe ambayo Uswizi ilianza lockdown, nikamuambia, wewe club umeendaje wakati Uswizi ipo katika lockdown na hii ni habari imetangazwa dunia nzima?
Alishindwa kunijibu akabaki anajiumauma tu.
Tangu hapo nikamuona mtu wa mazabe mazabe tu, ila sikuwa na muda mchafu wa kufanya forensic investigation.
Naona wadau wamenunua kesi wakachukua mpaka fingerprint, bado kidogo wapate ushahidi wa DNA!
Mambo poa. Vipi wewe?
Mate wakati wa Gilesi ulikuwepo??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ya gilesi ilijua nikeshesha jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa na signature yake matata inasema 'Dont study me, you will never graduate'