Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Nimemmind, siyo mara ya kwanza anaongelea hiyo issue kwenye nyuzi tofauti tofauti. Halafu anajidai aliogopa akahisi ni kama yeye.

Ukiamua kuwa kamati ya roho mbaya jioneshe wazi. Kaanga sumu haswa wenzako tukujue tukualike na kwenye vikao. Hamna haja ya kujidai kama mtakatifu huku unakaanga sumu kinafki.
We dada kunywa sprite kwa Mangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom