Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Moto moto, baridi baridi.
Kwani shingapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vuguvugu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Yaani huwezi kusema unaliogopa tukio halafu muda huohuo upo kuliongelea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhh....
Kuna jamaa aliwahi kuja na Uzi akiomba ushauri kule jf Doctor.
Ile jamaa iliuweka kabisa mushedede, ulikuwa unavipele kwamba ndio vinamsumbua pale kwenye kichwa kinapo zama.
Aiseee yule jamaa alikuwa ana roho ngumu sana, sasa kuna mdada akaakomenti akawa anausifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] picha niliiona ila uzi sikuufatilia wala kusoma komenti
 
Nakumbuka mdada Kinondoni Sweetheart alikuwa antuhabarisha visa vya Captain Sindbad (Baharia) visa vimepangika matukio kama yote, .ashauzi kibao hali iliyopelekea hadi nikazama PM na kujibiwa na vi msg vilivyojaa mashauzi ya kike[emoji38][emoji38]Siku Mods walipofanya yao [emoji38][emoji38] nashangaa muanzisha akageuza jina na kuwa Kanungila Karim aisee nilitema mate chini [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Nakumbuka mdada Kinondoni Sweetheart alikuwa anayuhabatisha visa vya Captain Sindbad (Baharia) visa vimepangika matukio kama yote, .ashauzi kibao hali iliyopelekea hadi nikazama PM na kujibiwa na vi msg vilivyojaa mashauzi ya kike[emoji38][emoji38]Siku Mods walipofanya yao [emoji38][emoji38] nashangaa muanzisha akageuza jina na kuwa Kanungila Karim aisee nilitema mate chini [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ndiyo maana mimi nimekuwa mvivu wa kutafuta vimwana jf, maana unaweza kujipinda kushusha gazeti kumbe unamshushia msela mwenzio.
 
Ndiyo maana mimi nimekuwa mvivu wa kutafuta vimwana jf, maana unaweza kujipinda kushusha gazeti kumbe unamshushia msela mwenzio.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Nakumbuka mdada Kinondoni Sweetheart alikuwa anayuhabatisha visa vya Captain Sindbad (Baharia) visa vimepangika matukio kama yote, .ashauzi kibao hali iliyopelekea hadi nikazama PM na kujibiwa na vi msg vilivyojaa mashauzi ya kike[emoji38][emoji38]Siku Mods walipofanya yao [emoji38][emoji38] nashangaa muanzisha akageuza jina na kuwa Kanungila Karim aisee nilitema mate chini [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]

Ahhaha hahaah


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom