Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mdogo wangu naomba samare ya kilichotokeaPambana na hali yako...
https://www.jamiiforums.com/threads/naomba-kuweka-hili-sawa.1275364/post-21891583
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo wangu naomba samare ya kilichotokeaPambana na hali yako...
https://www.jamiiforums.com/threads/naomba-kuweka-hili-sawa.1275364/post-21891583
Nakumbuka sana aiseeee, nilikomaa na sikukimbia wala sikubadili ID......[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna na lile balaa lako lilileta varangati humu.
Pandisha Uzi wakeNakumbuka sana aiseeee, nilikomaa na sikukimbia wala sikubadili ID......[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa na ID ya kike na kisha mashababi tukawa tuna tiririka huko PM, kisha kiranja wa zamu naona aliusoma mchezo na akaunganisha ID zake...[emoji23]
Nipo hapa nasubiri
Kuna mmoja ananitingoza pm.hajui tu mond wameunga fekero lake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sana mkuu, ukiwa na Id mbili au zaidi unatakiwa kuwa makini na mstaarabu. Ukichafua hali ya hewa au ukijaribu kucheza na watu mods wanaziunga id chap unabaki unafurahi na roho yako.
Mond ni kina nani?Kuna mmoja ananitingoza pm.hajui tu mond wameunga fekero lake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhPambana na hali yako...
https://www.jamiiforums.com/threads/naomba-kuweka-hili-sawa.1275364/post-21891583
Tumepelekwa Geneva tena?Bibi wa Canada kumbe yuko Kariakoo tena Karibu na vyura FC
Jr[emoji769]
😂😂 😂 😂 😂 😂Kuna mmoja ananitingoza pm.hajui tu mond wameunga fekero lake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]safari hii sie
Kaazi kweli kweli.Pambana na hali yako...
https://www.jamiiforums.com/threads/naomba-kuweka-hili-sawa.1275364/post-21891583
DuhAlikuwa na ID ya kike na kisha mashababi tukawa tuna tiririka huko PM, kisha kiranja wa zamu naona aliusoma mchezo na akaunganisha ID zake...[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuww ni typo, huenda anamaanisha kusema 'mods'.Mond ni kina nani?
Aaah lile varangati sio mchezo, ila bibie alikomaa kukutetea acha kabisa. Hope ndio ulimuoa maana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nakumbuka sana aiseeee, nilikomaa na sikukimbia wala sikubadili ID......[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawezaakawa kashtuka ,ila labda kajua mm boya tu.😂😂 😂 😂 😂 😂
Kwamba jamaa hajastuka bado...
Mi nawaomba mods wasijekuunga na Id langu la uchochoroni maana naweza nisipate nguvu za kurudi jf hadi nalamba mchanga. Sijui niwaombe mods waifute hiyo Id nyingine maana ni nguvu kujua ni lini siku ya kuja kwa mwana wa adam.