Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Basi itakuwa alikuwa na Id mbili za kike, maana hata hiyo kinondoni sweetheart niliwahi kuiona pia.Alikua anajiita Kinondoni sweetheart
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi itakuwa alikuwa na Id mbili za kike, maana hata hiyo kinondoni sweetheart niliwahi kuiona pia.Alikua anajiita Kinondoni sweetheart
Ha ha anazinguaSi ndo akakusifia wewe ni mhandsome [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaha bujibuji huyoMwanaume kuwa na id ya kike anapaswa aangaliwe mara mbili mbili.... Inakuaje hujiamini na jinsia yako
Yule mwandishi wa Makala humu Jf..
NiliscreenshotDahhh....
Kuna jamaa aliwahi kuja na Uzi akiomba ushauri kule jf Doctor.
Ile jamaa iliuweka kabisa mushedede, ulikuwa unavipele kwamba ndio vinamsumbua pale kwenye kichwa kinapo zama.
Aiseee yule jamaa alikuwa ana roho ngumu sana, sasa kuna mdada akaakomenti akawa anausifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
mambo ni yente yenteHapana sikufuatilia kabisa huo mtanange. Nilikuwa nasoma tu stories zake then napita hivi
Hizi sifa za Uhandsamu wa 13 mega pixel nimezisikia sikia sanaSi ndo akakusifia wewe ni mhandsome [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ooh sawa, lakini mbona ile ilikuwa inajulikana na walitujulisha wao wenyewe?Yule mwandishi wa Makala humu Jf..
alikua anaandika kuhusu Vipepeo Weusi
kuparanganyika?Ooh sawa, lakini mbona ile ilikuwa inajulikana na walitujulisha wao wenyewe?
Hizi sifa za Uhandsamu wa 13 mega pixel nimezisikia sikia sana