Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 😂 😂 😂 😂Mtaje jina tumjue,
[emoji2960]
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Tobaaaaa, ndio nimemkumbuka huyu manzi alijiiita Mjukuu wa Chifu kumbe ni Mr Kanungira Karim hahahaha watu wana vituko sana.[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu, akija kunisimanga uje unitetee
Verified id : Kanungira karim
Id ya uchochoroni : Mjukuu wa chifu kama sikosei.
Alitikisa sana kule jukwaa la picha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua nimekumention sehemu anayopewa vidonge vyake yule jamaa, check your notificationsHata mimi siamini aisee kama maelezo yote Yale alikuwa Muongo
DemissMmesahau ya yule dada maarufu mwenye kipini puani...Nilibahatika kuona picha yake ahhaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuu, ukiwa na Id mbili au zaidi unatakiwa kuwa makini na mstaarabu. Ukichafua hali ya hewa au ukijaribu kucheza na watu mods wanaziunga id chap unabaki unafurahi na roho yako.Tobaaaaa, ndio nimemkumbuka huyu manzi alijiiita Mjukuu wa Chifu kumbe ni Mr Kanungira Karim hahahaha watu wana vituko sana.
Wakikusimanga wewe nitag tu, [emoji378] moja wanasambaratika.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Watu wanaojichetuaga humu jf huwa nawacheki tu. Japo sikubahatika kuliona hilo saga ila kwa aina ya maisha aliyokuwa anayaishi yule dada nilikuwa nahisi ni lazima ipo siku itakuja kumgharimu.Mmesahau ya yule dada maarufu mwenye kipini puani...Nilibahatika kuona picha yake ahhaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni Pascal MayallaJamani kuna Uzi Fulani Wa jamaa nishasahau anaitwaje ila alitabiri kiongozi wa Serikali ya awamu ya 5 na namna Serikali itavyoendeshwa.
Na utabiri huo aliufanya kabla ya 2015 kama sikosei ni 2012 au 13 hivi. Mwenye kuupandisha hapa afanye hivyo tafadhali. Ule Uzi tungekuwa tunatoa nyota humu ningeupa nyota 5!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile battle ya Humble African na CCNP ENGINEER ilikuwa Vita Moja mbaya saana kwa engineer alitandikwa mwanzo mwisho Hadi akaisusa ID yake Hadi leo imebaki gofu.Nakumbuka ile battle ya mzee wa kuachia ushuzi na kujisifia... bwana CCNP ENGINEER akiwa na humble africa...
Ile vita ilikuwa hatari sana..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kabla ya hapo alikuwa na mbwembwe sana, kila siku kutamba na div. 1 zake.Ile battle ya Humble African na CCNP ENGINEER ilikuwa Vita Moja mbaya saana kwa engineer alitandikwa mwanzo mwisho Hadi akaisusa ID yake Hadi leo imebaki gofu.
Ile Vita ilimuacha na majeraha makubwa saana Engineer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi hata Mimi alikuwa akinikera Sana yule bwana na tabia yake ya kujiona special na kudharau wengine hivyo kichapo chake toka kwa humble African kilinikosha saana.Kabla ya hapo alikuwa na mbwembwe sana, kila siku kutamba na div. 1 zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo mrembo??Aisee
Kuwa mjuaji na mjivuni sana kuna gharama kubwa hasa unapokuwa kwenye jamii yenye watu wa aina tofaiti kama jf. Unaweza kujiona wewe ni wewe kisa tu hapo kwenye kitongoji chenu wanakukubali kuwa wewe ndiye zaidi ya wao wote na ukadhani kuwa dunia nzima itakutambua hivyo, hell no.Binafsi hata Mimi alikuwa akinikera Sana yule bwana na tabia yake ya kujiona special na kudharau wengine hivyo kichapo chake toka kwa humble African kilinikosha saana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fake zimezidi humu ndani aiseeeee...Ila wanajf hapana[emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa mjuaji na mjivuni sana kuna gharama kubwa hasa unapokuwa kwenye jamii yenye watu wa aina tofaiti kama jf. Unaweza kujiona wewe ni wewe kisa tu hapo kwenye kitongoji chenu wanakukubali kuwa wewe ndiye zaidi ya wao wote na ukadhani kuwa dunia nzima itakutambua hivyo, hell no.
Tiba bora ni kuwa mstaarabu na kuzuia makwazo yasiyo na msingi.
😂😂😂😂😂 Dah hiyo ilinipita, yupoje yupoje aise.Mi naikumbuka picha ya Miss natafuta tuu...watu waliitafuta wakaiweka hadharani
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaishi nchi ganiWalificha ujinga wa watanzania ulioanza kujidhihirisha kwenye comments.
Ndio sababu waliyonipa.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Huo uzi ulikuwa unaitwaje?We unaishi nchi gani
Alikuja pm bwana. Yani nilimjibu salamu ila nikahisi kuna kitu hakipo sawa. Akaandika tena nikasema heeeeeh kumekucha.
Kuja kusoma nyuzi zake vizuri naona mashkolo.
Kaamua kufake sema kakosea pa kufake.
Lakini Giree atabaki kuwa juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa mpigaji, jamaa ni mtafutaji nakumbuka nilikutana nae. Mtu poa sanaHapana hakuwa mpigaji.
Kwa hili namtetea lakini jamaa alikuwa comedy fulani hivi humu aliishia kupaka kazi ya kuhudumia mifugo humu.
mama wawili