Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Habari haija balance, tumuulize ModeratorHizi tuhuma ni kweli au NI WIVU TU ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari haija balance, tumuulize ModeratorHizi tuhuma ni kweli au NI WIVU TU ?
Hapana sikufuatilia kabisa huo mtanange. Nilikuwa nasoma tu stories zake then napita hiviUtakuwa na matatizo ya akili na wewe.
kenny trump na secretary POMPEO wasipotajwa huu Uzi ni batili
Huo wa Japan wenyewe chai nyingi taarifa nyingi ni za ku googleKwani wataka kusema mshkaji hayupo Uswiss kweli?! Mbona anajibu maswala vizuri tu hata katika uile uzi wake wa Japan?
Binafsi nilimuamini kumbe zilikuwa chai tu😂😂
Binafsi nilimuamini kumbe zilikuwa chai tu[emoji23][emoji23]
Hata mimi siamini aisee kama maelezo yote Yale alikuwa MuongoKwani wataka kusema mshkaji hayupo Uswiss kweli?! Mbona anajibu maswala vizuri tu hata katika uile uzi wake wa Japan?
We unafikiri kwanini walifunga comments?Sina kumbukumbu ya kufutiwa uzi, lakini kama una maanisha ule uliohusu mrejesho wangu wa kupata mtoto mbona upo ila comments ndio zimefungwa.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Wadau wanasema ni muongo. Imenifanya nikasome comments za watu na majibu aliyokuwa akiyatoa kutoa huo utata. Ndio nakupitia hapaHata mimi siamini aisee kama maelezo yote Yale alikuwa Muongo
Hata mimi badae kidogo ntaupitia uzi wake nichekiWadau wanasema ni muongo. Imenifanya nikasome comments za watu na majibu aliyokuwa akiyatoa kutoa huo utata. Ndio nakupitia hapa
Mshana mwana kulitafuta mwana kulipata najua unamwelewa ffoxyBibi wa Canada kumbe yuko Kariakoo tena Karibu na vyura FC
Jr[emoji769]
Wafu hawana madhara, ogopa walio hai - JamiiForumsMshana mwana kulitafuta mwana kulipata najua unamwelewa ffoxy
Hivi wakuu ni nini kilitokea hadi Demiss akachange username to Muzine na amekuwa low-key kweli kweli, sidhani kama hata anachangia tena.
Vipi bebeDaaah!