Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Duh! sijui nilikuwa wapi habari za kutumbuliwa kwa Paraboa napata leo ila alizidi misifa kweli nimeamini JF kiboko yote kwa yote mimi sisahau ya yente na 7800(Sweta la Tanzania).
Uzi unaitwaje?

《Caprichar o teu sorriso》
 
Jamani kuna Uzi Fulani Wa jamaa nishasahau anaitwaje ila alitabiri kiongozi wa Serikali ya awamu ya 5 na namna Serikali itavyoendeshwa. Na utabiri huo aliufanya kabla ya 2015 kama sikosei ni 2012 au 13 hivi. Mwenye kuupandisha hapa afanye hivyo tafadhali. Ule Uzi tungekuwa tunatoa nyota humu ningeupa nyota 5!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli umenikumbusha yule member aisee yule ni inner circle of the state.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu alikuwa anavunga demu na ID ya kike humu alikuwa anatingisha Vidume wa JF kama Money Penny vile huko MMU.

Mara Paaap, Mods wakafanya yao ( Kuunganisha IDs ) akawa Erick otieno.

Tehe Tehe!
Hii ipo katika hot top five yangu ya matukio, ni uzi ulioangaliwa sana kule MMU daah jf kichakaa[emoji23][emoji23]
 
Jamani kuna Uzi Fulani Wa jamaa nishasahau anaitwaje ila alitabiri kiongozi wa Serikali ya awamu ya 5 na namna Serikali itavyoendeshwa. Na utabiri huo aliufanya kabla ya 2015 kama sikosei ni 2012 au 13 hivi. Mwenye kuupandisha hapa afanye hivyo tafadhali. Ule Uzi tungekuwa tunatoa nyota humu ningeupa nyota 5!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta"! Ukweli huu hapa...
Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta"! Ukweli huu hapa... - JamiiForums


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhh....
Kuna jamaa aliwahi kuja na Uzi akiomba ushauri kule jf Doctor.
Ile jamaa iliuweka kabisa mushedede, ulikuwa unavipele kwamba ndio vinamsumbua pale kwenye kichwa kinapo zama.
Aiseee yule jamaa alikuwa ana roho ngumu sana, sasa kuna mdada akaakomenti akawa anausifia wakati mleta mada anaumwa...teh[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu jamaa alikuwa serious hana hata wasiwasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom