Mamaaa unasahau ya kwako hadi ukafutiwa uzi.Lile tifu la Ontario halikuenda peke yake kuna couple maarufu na yenyewe ilikua exposed,
Kuna yule aliitwa Raimundo akapigwa ban ya muda mrefu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Ndiyo.... Ni kweli..... Matako yalitingishika Hadi yaka produce umeme kiwango Cha grid ya taifa
Naona unataka kuchafua hali ya hewa, Hahaahaaaaa.....Lile tifu la Ontario halikuenda peke yake kuna couple maarufu na yenyewe ilikua exposed,
Kuna yule aliitwa Raimundo akapigwa ban ya muda mrefu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Sasa ile yake ni issue ya utashi na nimaamuzi yake yeye binafsi.Mamaaa unasahau ya kwako hadi ukafutiwa uzi.
Ule ungekaa kidogo hata siku ungevunja rekodi si mchezo.
mama wawili
Sasa ile yake ni issue ya utashi na nimaamuzi yake yeye binafsi.
Yaani, hayo ndio maisha aliyo yachagua yeye na ndio furaha yake bana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha alijiita aiseYule bwana aliyetuchota ametoka kigoma kwa train na buku 2 mfukobu hana pa kufikia.
Alitukesesha siku zote za safari yake.
Sasa hivi naona karudi kwenye uhalisia wake.
aise
mama wawili
😂😂😂 JF ina vituko..Mkuu nakumbuka ile ID yako ya Giresi.. watu walizama sana pm
Ila jf ni hatari sana. Yaani ukiwa unaanzisha uzi, unachangia kama vile watu hawakuoni vile. Ila siku ukizingua na wakabahatika kukubana, unaweza ukawa unaiogopa simu kama vile watatoka humo kuja kukusimanga uso kwa uso.
kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi labda wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].Ila jf ni hatari sana. Yaani ukiwa unaanzisha uzi, unachangia kama vile watu hawakuoni vile. Ila siku ukizingua na wakabahatika kukubana, unaweza ukawa unaiogopa simu kama vile watatoka humo kuja kukusimanga uso kwa uso.
Duh! aiseeIliyoniumiza ni ile post ya jamaa alikuwa na matatizo ya kifua nadhani akawa anaomba sana msaada wa mawazo hadi anatumia picha akiwa hospitali, siku akapost natamani hadi kufa kwa maumivu... Kuna watu waka reply una ngoja nini kufa, hakukaa sana akazidiwa akafa.... Ni post iliyoniuma