msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi landa wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
Cc: DemisMmesahau ya yule dada maarufu mwenye kipini puani...Nilibahatika kuona picha yake ahhaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Babe kapo gani hiyo?Lile tifu la Ontario halikuenda peke yake kuna couple maarufu na yenyewe ilikua exposed,
Kuna yule aliitwa Raimundo akapigwa ban ya muda mrefu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi landa wanakujua, yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3, wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii inatukumbusha kuwa tunatakiwa tuwe na mtiririko wa kueleweka wa maisha, yaani kama unataka kuishi maisha yako halisi, kuwa hivyo na usijaribu kuingiza mambo mengine yanayoweza kusababisha matatizo.kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi landa wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii ilinipitaNakumbuka ile battle ya mzee wa kuachia ushuzi na kujisifia... bwana CCNP ENGINEER akiwa na humble africa...
Ile vita ilikuwa hatari sana..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila Parabora jamani alikuwa akiulizwa anajibu "mkuu Google usipende kutafuniwa nimeshakupa hint" jibu pekee alilotoa ni kuwa Tz na Swiss tunatofautiana masaa mawili...
Nilimuwekea tarehe ambayo Uswizi ilianza lockdown, nikamuambia, wewe club umeendaje wakati Uswizi ipo katika lockdown na hii ni habari imetangazwa dunia nzima?
Alishindwa kunijibu akabaki anajiumauma tu...
Hahahaha rafiki tuchatiiiiiiiiiiiiMamaaa unasahau ya kwako hadi ukafutiwa uzi.
Ule ungekaa kidogo hata siku ungevunja rekodi si mchezo.
mama wawili
Babe tutaongea chumbani sitaki kusutwa mie,
Unasema Money Penny au?Kuna mtu humu alikuwa anatingisha Vidume wa JF kama @Mompenny humu vile huko MMU.
Mara Paaap, Mods wakafanya yao akawa Erick otieno.
Tehe Tehe
Yaan sijui huu umbea nimeanza lini ngoja nikatubu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimejikuta nacheka kwa sautiKaka Tuchati
Ile battle ilikuwa balaa. Ilimuacha CCNP ENGINEER Vibaya sana hadi akapotea jf mazima.Nakumbuka ile battle ya mzee wa kuachia ushuzi na kujisifia... bwana CCNP ENGINEER akiwa na humble africa...
Ile vita ilikuwa hatari sana..
Sent from my iPhone using JamiiForums