Matumaini yamepotea. Hadi sasa sioni wa kuipigia Kura CCM 2025

Matumaini yamepotea. Hadi sasa sioni wa kuipigia Kura CCM 2025

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.

Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..

Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.

Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.

Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?

Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
 
Hayo ni matatizo yako na mtazamo wako... fanya kazi kijana... CCM ita endelea kuwepo na utaiacha kama ulivyo ikuta...

Ccm isiwe sababu ya umasikini wako Au shida zako

Usitafute sehemu ya kusukumia shida zako

Kuzaliwa masikini sio kosa bali kosa ni kufa masikini
 
Hutaamini macho yako

Labda wasiwe watanzania hawa. Kishindo kitakua kikali sana.

Madera ya kijani na njano
Kofia
Khanga
Wali maharage
 
Hayo ni matatizo yako na mtazamo wako... fanya kazi kijana... CCM ita endelea kuwepo na utaiacha kama ulivyo ikuta....
Utakuta unanuka njaa hadi kwapani ila unajitutumua tu

FB_IMG_1575390806699.jpg
 
Katika awamu zote CCM itashinda Kwa kishindo ktk awamu ya SITA bila ubishi. Dua za ufipa hazitaleta ushawishi wowote
 
Katika awamu zote CCM itashinda Kwa kishindo ktk awamu ya SITA bila ubishi. Dua za ufipa hazitaleta ushawishi wowote
Wasubiri kwa utulivu waone mambo yatakavyo enda

Siasa ni sayansi
 
Siasa ni sayansi na sayansi ina anzia hapa...

Anza kuhesabu kura kuanzia hapa

F22FB201-86CF-4C8D-B627-D4198178DE2E.jpeg


Yani hakuna Mbeya, Arusha, Knjaro...

Endeleeni kuota... ushindi...

5B78B39D-46FA-47C3-AD3D-22018D81605F.jpeg
 
Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.

Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..

Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.

Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.

Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?

Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
2020 walipiga magoti kule iringa 2025 watalala kwenye matope kabisa
 
W
Katika awamu zote CCM itashinda Kwa kishindo ktk awamu ya SITA bila ubishi. Dua za ufipa hazitaleta ushawishi wowote
Ni kweli Dr Mahera si bado yupo? Na Internet mtazima tena😅🤣
 
Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.

Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..

Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.

Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.

Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?

Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
Ccm imechokwa mno
 
Hayo ni matatizo yako na mtazamo wako... fanya kazi kijana... CCM ita endelea kuwepo na utaiacha kama ulivyo ikuta...

Ccm isiwe sababu ya umasikini wako Au shida zako

Usitafute sehemu ya kusukumia shida zako

Kuzaliwa masikini sio kosa bali kosa ni kufa masikini
Mi naongelea Hali halisi ya Tanzania wewe unaniongelea mimi.

Mimi nikiwa na hela huku nimezungukwa na watu fukara hakuna amani wala faida.

Afu inaonekana we mbinafsi Sana. Ndiyo mnaokula Hadi mbegu, huoni binadamu wenzako wanavyoteseka?
 
Mm na familia yangu nachagua MHE: samia hasani
 
Mi naongelea Hali halisi ya Tanzania wewe unaniongelea mimi.

Mimi nikiwa na hela huku nimezungukwa na watu fukara hakuna amani wala faida.

Afu inaonekana we mbinafsi Sana. Ndiyo mnaokula Hadi mbegu, huoni binadamu wenzako wanavyoteseka?
Endelea kutoa kibanzi...
 
Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.

Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..

Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.

Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.

Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?

Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
2025 Rais Samia Suluhu lazima atashinda kwa kishindo maana amefanya maendeleo mengi sana Tanzania wewe hauwezi kuyaona kwasababu unaangalia ukiwa na makasiliko
 
Back
Top Bottom