Matumaini yamepotea. Hadi sasa sioni wa kuipigia Kura CCM 2025

Matumaini yamepotea. Hadi sasa sioni wa kuipigia Kura CCM 2025

Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.

Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..

Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.

Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.

Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?

Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
Wa kuipa CCM kura ni NEC, Polisiccm na TISS.
 
2025 Rais Samia Suluhu lazima atashinda kwa kishindo maana amefanya maendeleo mengi sana Tanzania wewe hauwezi kuyaona kwasababu unaangalia ukiwa na makasiliko

CCM haitegemei kura kukaa madarakani, vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi ndio zinazowapa ushindi wa kishindo. Lakini wananchi wanaojitambua hawatakuwa na muda wa kupiga kura.
 
Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.

Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..

Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.

Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.

Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?

Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
Sema we ndo umepoteza matumaini kwa kuwa huna akiri ila wenye akiri wanasema mama for presidency till she dies
 
Umesema ukweli kabisa.toka awamu zianze tnzania,awamu ya sita ni awamu ya hovyo kabisa kuwahi kutokea na wakijifanya kumuweka huyo bibi yao 2025 naamini atapata kura za familia yake tu.
 
Back
Top Bottom