BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Labda ashinde njaa2025 Rais Samia Suluhu lazima atashinda kwa kishindo maana amefanya maendeleo mengi sana Tanzania wewe hauwezi kuyaona kwasababu unaangalia ukiwa na makasiliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ashinde njaa2025 Rais Samia Suluhu lazima atashinda kwa kishindo maana amefanya maendeleo mengi sana Tanzania wewe hauwezi kuyaona kwasababu unaangalia ukiwa na makasiliko
Wa kuipa CCM kura ni NEC, Polisiccm na TISS.Wanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.
Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..
Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.
Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.
Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?
Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri
2025 Rais Samia Suluhu lazima atashinda kwa kishindo maana amefanya maendeleo mengi sana Tanzania wewe hauwezi kuyaona kwasababu unaangalia ukiwa na makasiliko
Sema we ndo umepoteza matumaini kwa kuwa huna akiri ila wenye akiri wanasema mama for presidency till she diesWanajavi hali si hali Kila mtu haamini kinachoendelea.
Gharama za maisha ziko juu kuliko wakati wowote ule, watu wanatafuna hela za serikali bila huruma..
Hakuna mradi unaoeleweka, president akiongea ni porojo tu Hana maneno yenye mashiko.
Wafanyabiashara wanatia huruma umeme hamna, ukipita mitaa ya kariakoo utadhani kuna mashindano ya kuwasha magenerator.
Nuru imepotea akina mama na watoto wamepauka kama wameoga majibu, swali wanaloshindwa kupata majibu mbona miaka Mitano ya magufuli hali hii haikuwepo? Ni hujuma au nini?
Tuendelee kusubiri mda ni mwalimi mzuri