Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
Hebu oneni sahihi ya mwanachama wa JF.......hilo neno sijui la kisukuma au kinyantuzu.....nafikiri limekosewa kiufasaha angeandika "potofu"
Fikra ni nyenzo endelezi au potoshi. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potoshi, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SDD6-07Rev.1-09.