Fikra ni nyenzo endelezi au potoshi. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potoshi, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SDD6-07Rev.1-09.
Humu ukumbini; kuna wazee wenzangu, watoto zangu, na wajukuu zangu.
Wewe huko kundi la wajukuu zangu.
Nadhani hapa ulimaanisha ''hupo'' na si ''huko'' kama ulivyo ainisha.
Kaka Dar Es Salaam , kama unataka kuweka mtiririko mzuri wa kiswahili ulipaswa kuweka neno "UPO" na wala sio "HUPO" kama ulivyoandika hapo juu.
Hebu oneni sahihi ya mwanachama wa JF.......hilo neno sijui la kisukuma au kinyantuzu.....nafikiri limekosewa kiufasaha angeandika "potofu"
Hebu oneni sahihi ya mwanachama wa JF.......hilo neno sijui la kisukuma au kinyantuzu.....nafikiri limekosewa kiufasaha angeandika "potofu"
wakuu haya maneno yanatumikaje
yoyote na yeyote
je neno lipi ni sahihi kati ya "dharura na dharula"