Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
MATUMIZI USIYOYAJUA YA MKAA..
1. Kama raba yako inatoa harufu mbaya weka mkaa .. itaondoka ..π..
2. Kama chumba chako kinanukanuka weka mkaa harufu yote itaondoka .. itaingia kwenye mkaa ..
3. Kama furiji yako inatoa harufu mbaya safisha Kisha weka mkaa
4. Kama mwili wako unatoa harufu mbaya ya jasho tafuna tafuna mkaaa.. π
5. Kama choo chako kinatoa harufu mbaya sana weka mkaa harufu itakata ..
6. Kama una mboga unataka kesho upike Twanga mkaa Kisha koshea yale maji zitakuwa fresh mpaka next day ..πππ
7. Twanga Twanga Kisha Weka kwenye bustani kuipa rutuba mboga zako πππ
8. Kama unahisi chakula kina sumu weka mkaa utanyonya sumu yote .. Kisha kula hafii mtu mwaka huu πππ
9.kama meno yako ya njano Kama jezi ya Yanga piga mswaki na mkaa yatakuwa meupee Kama pamba πππ
10. Kama umepika na ukaunguza weka mkaa kukata harufu ππππ
11. Wale wazee wa gambe Kama umeamka na hangover usinywe supu tafuna mkaa itakataa πππ.
12....
1. Kama raba yako inatoa harufu mbaya weka mkaa .. itaondoka ..π..
2. Kama chumba chako kinanukanuka weka mkaa harufu yote itaondoka .. itaingia kwenye mkaa ..
3. Kama furiji yako inatoa harufu mbaya safisha Kisha weka mkaa
4. Kama mwili wako unatoa harufu mbaya ya jasho tafuna tafuna mkaaa.. π
5. Kama choo chako kinatoa harufu mbaya sana weka mkaa harufu itakata ..
6. Kama una mboga unataka kesho upike Twanga mkaa Kisha koshea yale maji zitakuwa fresh mpaka next day ..πππ
7. Twanga Twanga Kisha Weka kwenye bustani kuipa rutuba mboga zako πππ
8. Kama unahisi chakula kina sumu weka mkaa utanyonya sumu yote .. Kisha kula hafii mtu mwaka huu πππ
9.kama meno yako ya njano Kama jezi ya Yanga piga mswaki na mkaa yatakuwa meupee Kama pamba πππ
10. Kama umepika na ukaunguza weka mkaa kukata harufu ππππ
11. Wale wazee wa gambe Kama umeamka na hangover usinywe supu tafuna mkaa itakataa πππ.
12....