Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika nje ya jicho nimekosea maandishi kidogo hujambo lakini bibie?Samahani... naona leo una hasira! Nilitaka kujua hapo ulipoandika "kaika nje ya jicho" ni wapi?
Sina uhakika wa hilo jambo ulilosema bibie.asante kwa dawa, ila asali inachelewesha mtu kukata roho siku ya kufa, unahangaika muda mrefu. nnavosikia...!!!
Kula pamoja na Asali na Mdalasini kutwa mara 3 kwa muda wa mwezi 1 asubuhi mchana na usiku kabla ya kula kitu Asali kijiko kimoja kikubwa cha kulia wali na mdalasini kijiko kimoja kidogo.mkuu Mzizi mkavu asali na mdalasini vinasaidia kuongeza nguvu za kiume?na matumizi yake yakoje?
Katika nje ya jicho nimekosea maandishi kidogo hujambo lakini bibie?
Mdalasini kwa Kiingereza unaitwa jina hili Cinnamon Angalia picha hapo chini...Hivi mdalasini ndio cinnamon?
Kula pamoja na Asali na Mdalasini kutwa mara 3 kwa muda wa mwezi 1 asubuhi mchana na usiku kabla ya kula kitu Asali kijiko kimoja kikubwa cha kulia wali na mdalasini kijiko kimoja kidogo.
nakupenda sana mzizi mkavu..........da cjui tatizo langu la nguvu za kiume litaisha?
wana jamii forum hv kazi ya asali ni zipi? tuambizane basi
kupaka kwenye mikate + dawa ya kikohozi!!
unaweza kupaka kwenye koni then unairamba ramba inakuwa tamu mnooooo
wana jamii forum hv kazi ya asali ni zipi? tuambizane basi
Wasichana banaaa...