Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

asante kwa dawa, ila asali inachelewesha mtu kukata roho siku ya kufa, unahangaika muda mrefu. nnavosikia...!!!
 
mkuu Mzizi mkavu asali na mdalasini vinasaidia kuongeza nguvu za kiume?na matumizi yake yakoje?
Kula pamoja na Asali na Mdalasini kutwa mara 3 kwa muda wa mwezi 1 asubuhi mchana na usiku kabla ya kula kitu Asali kijiko kimoja kikubwa cha kulia wali na mdalasini kijiko kimoja kidogo.
 
Hivi mdalasini ndio cinnamon?
Mdalasini kwa Kiingereza unaitwa jina hili Cinnamon Angalia picha hapo chini...

attachment.php
 

Attachments

  • asalimdalasini.jpg
    asalimdalasini.jpg
    54.7 KB · Views: 697
Kula pamoja na Asali na Mdalasini kutwa mara 3 kwa muda wa mwezi 1 asubuhi mchana na usiku kabla ya kula kitu Asali kijiko kimoja kikubwa cha kulia wali na mdalasini kijiko kimoja kidogo.

hapo hapo. huu mchanganyiko unafanya mtu apunguze mwili, loose weight?
 
thanks boss mimi naendelea kuapply ile ya kupaka kulingana na ushaur wako then majibu utapata...
 
kule misri asali ilitumika kuhifadhia maiti hata leo ukiweka kiumbe hai ndani ya asali hakiozi,kuponya majeraha ya moto,kuzibua mishiba iliyozibwa na mafuta nk
 
Wapo wanaotumia kama sukari kwenye vinywaji mfano chai.
 
unaweza kupaka kwenye koni then unairamba ramba inakuwa tamu mnooooo
 
Inalainisha ngoz ya uso!ukiwa unapaka mara kwa mara mida ya asubuh na jion!angalizo usitembee nayo juan
 
Back
Top Bottom